Kumekuwa na sintofahamu ya ni nani atasimama kuwa mgombea urais kwa tiketi ya UKAWA, ingawaje pia kuna majimbo ya ubunge bado yanaleta shida kidogo kuamua nani wasimamishe mgombea lakini ukweli utabaki kuwa mgombea urais ndio mtihani mgumu kwa ukawa kwenda kwenye uchaguzi huu wakiwa wamoja
Habari za kuaminika kutoka chanzo cha uhakika ni kwamba ruzuku ambayo itapatikana kutokana na kura za urais zitagawanywa vipi?
Lakini pia swala kubwa kabisa kuliko yote ni kwamba haya sio makubaliano ya kisheria, je atakayepewa dhamana atatekeleza makubaliano kwa kugawa ruzuku kwa mujibu wa makubaliano?
CHADEMA hawa waamini kabisa CUF ukizingatia mahusiano ya CUF na CCM.
Lakini pia CUF ndio kabisa hawaamini kabisa CHADEMA haswa wakikumbuka CHADEMA ilichowafanya baada ya kupata wabunge wengi bungeni na kuvitosa vyama vyote kwenye serikali yao ya upinzani
Safari bado ni ngumu kidogo.
Habari za kuaminika kutoka chanzo cha uhakika ni kwamba ruzuku ambayo itapatikana kutokana na kura za urais zitagawanywa vipi?
Lakini pia swala kubwa kabisa kuliko yote ni kwamba haya sio makubaliano ya kisheria, je atakayepewa dhamana atatekeleza makubaliano kwa kugawa ruzuku kwa mujibu wa makubaliano?
CHADEMA hawa waamini kabisa CUF ukizingatia mahusiano ya CUF na CCM.
Lakini pia CUF ndio kabisa hawaamini kabisa CHADEMA haswa wakikumbuka CHADEMA ilichowafanya baada ya kupata wabunge wengi bungeni na kuvitosa vyama vyote kwenye serikali yao ya upinzani
Safari bado ni ngumu kidogo.