Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 26,982
- 38,738
Salam wanaukumbi....
Ni mwaka na masiku yameyoyoma tangu mkito wa mbwembwe na nderemo nyingi za kishabiki kwa utawala huu wa CCM upite lakini hali ya huzuni imerejea tena kwa kiwango cha kutisha!!
Mambo ktk nchi kwa ujumla hayaendi sawa, tunarejea nyuma kwa kasi kuliko kwenda mbele!! Yale tuloaminishwa pengine yakiondoka hali itatengemaa imekua tofauti....
Sasa ifike mahali watanzania wajue ni nani hasa adui wao!! Tuliimbishwa ufisadi ndio adui yetu mkuu mpaka mgombea wa CCM akajitapa kuwa mafisadi wamemkimbia... Àliposhinda ni mwaka sasa tunaambiwa ufisadi umetokomezwa lakini bado tunarejea nyuma kwa kasi kubwa kuliko kawaida!!
Sasa leo niwafumbue macho na akili kuwa adui Mkubwa wa nchi hii ni UMASKINI na UJINGA uliokithiri!! CCM miaka yote imeshindwa iondoa kwakua ndio silaha pekee iliyobaki inayowapa pumzi...
UMASKINI na UJINGA uliokithiri ndiye adui mkuu wa nchi hii ktk kupiga hatua kimaendeleo... Ili tufike mbali inahitajika nguvu kubwa kupambana navyo...
CCM haiwezi pambana na maadui hao maana ndio uhai nq pumzi yao kuu....
Sasa naamini akili zimeturudia, agenda yetu kuu iwe ni kumwondoa umaskini na ujinga na ili aondoke ni lazima CCM aondoke....
Sasa niwaombe UKAWA na washirika wenu kama mlivyofanya 2015, 2020 ikibidi hata shetani akiomba ungana nanyi mchukueni... Lengo kuu liwe kumuondoa CCM!! Mapambano ya kumwondoa CCM si lelemama!! Hivyo nguvu kubwa yahitajika.... Watanzania tuko tayari waunga mkono huyu CCM atokomee kabisa!!
SIKU CCM IKIONDOKA MADARAKANI NDIPO LAANA KTK NCHI ITAONDOKA.
Ni mwaka na masiku yameyoyoma tangu mkito wa mbwembwe na nderemo nyingi za kishabiki kwa utawala huu wa CCM upite lakini hali ya huzuni imerejea tena kwa kiwango cha kutisha!!
Mambo ktk nchi kwa ujumla hayaendi sawa, tunarejea nyuma kwa kasi kuliko kwenda mbele!! Yale tuloaminishwa pengine yakiondoka hali itatengemaa imekua tofauti....
Sasa ifike mahali watanzania wajue ni nani hasa adui wao!! Tuliimbishwa ufisadi ndio adui yetu mkuu mpaka mgombea wa CCM akajitapa kuwa mafisadi wamemkimbia... Àliposhinda ni mwaka sasa tunaambiwa ufisadi umetokomezwa lakini bado tunarejea nyuma kwa kasi kubwa kuliko kawaida!!
Sasa leo niwafumbue macho na akili kuwa adui Mkubwa wa nchi hii ni UMASKINI na UJINGA uliokithiri!! CCM miaka yote imeshindwa iondoa kwakua ndio silaha pekee iliyobaki inayowapa pumzi...
UMASKINI na UJINGA uliokithiri ndiye adui mkuu wa nchi hii ktk kupiga hatua kimaendeleo... Ili tufike mbali inahitajika nguvu kubwa kupambana navyo...
CCM haiwezi pambana na maadui hao maana ndio uhai nq pumzi yao kuu....
Sasa naamini akili zimeturudia, agenda yetu kuu iwe ni kumwondoa umaskini na ujinga na ili aondoke ni lazima CCM aondoke....
Sasa niwaombe UKAWA na washirika wenu kama mlivyofanya 2015, 2020 ikibidi hata shetani akiomba ungana nanyi mchukueni... Lengo kuu liwe kumuondoa CCM!! Mapambano ya kumwondoa CCM si lelemama!! Hivyo nguvu kubwa yahitajika.... Watanzania tuko tayari waunga mkono huyu CCM atokomee kabisa!!
SIKU CCM IKIONDOKA MADARAKANI NDIPO LAANA KTK NCHI ITAONDOKA.