Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Tunaomba mtusaidie tuwaambie ndugu zetu ili wasibabaike siku ya kupiga kura uchaguzi wa mitaa ..Iko hivi, mmeungana sawa lakini watu wanauliza inamaana hata kwenye makaratasi ya kura vitaonekana vyama vyote vya ukawa ama kitakuwepo chama kimoja na mgombea mliyempitisha kama wa CUF ama CHADEMA ?
Mmeliwekaje hili ili tujue mapema siku tunaenda tusianze kuhangaika.
Mmeliwekaje hili ili tujue mapema siku tunaenda tusianze kuhangaika.