Mohammed Khatibu
JF-Expert Member
- Jun 28, 2018
- 713
- 730
Ukawa nawaomba msije MKAJIROGA mkachukua hizi sampuli zinazo tumbuliwa na kughafilishwa huko CCM afu eti baadae zikija kwenu ndo muwasimamishe kugombea KAMA MLIVYOFANYA 2015.
UKAWA gani?!Ukawa nawaomba msije MKAJIROGA mkachukua hizi sampuli zinazo tumbuliwa na kughafilishwa huko CCM afu eti baadae zikija kwenu ndo muwasimamishe kugombea KAMA MLIVYOFANYA 2015.
UKAWA gani?!
Hakuna vyama vya upinzani Tanzania,tuna magenge ya wasanii na wachumia tumboMkuu nimeona uvivu kuorodhesha vyama vyote ila na maanisha chama chochote cha upinzan isipokuwa CUF.
Hakuna vyama vya upinzani Tanzania,tuna magenge ya wasanii na wachumia tumbo
Hakuna vyama vya upinzani Tanzania,tuna magenge ya wasanii na wachumia tumbo
Wewe ndio mchumia tumbo wakubwa hawalali kwa hao unaowaita wachumia tumboHakuna vyama vya upinzani Tanzania,tuna magenge ya wasanii na wachumia tumbo
Tehe tehe teheWewe ndio mchumia tumbo wakubwa hawalali kwa hao unaowaita wachumia tumbo
Lissu amebaki mitandaoni tuLissu yupo anatosha
Lissu amebaki mitandaoni tuLissu yupo anatosha
Ukawa nawaomba msije MKAJIROGA mkachukua hizi sampuli zinazo tumbuliwa na kughafilishwa huko CCM afu eti baadae zikija kwenu ndo muwasimamishe kugombea KAMA MLIVYOFANYA 2015.
UKAWA uko wapi? Bado tuna hang over ya 2015!!UKAWA gani?!