UKAWA msirudi nyuma, shirikini uchaguzi wa wabunge

Kinga kingdom

JF-Expert Member
Jan 11, 2017
769
845
Habari zenu wana ukawa wote duniani!!!

Ninaomba kuwapongeza viongozi wote na wanachama wote wa upinzani waliounda umoja huu, pia nitambue mchango wenu katika kukuza democrasia nchini.

Kwa hakika umoja wenu wa mwaka 2015 ulileta ushindani mkubwa na mafanikio makubwa sana katika uchaguzi na hadi kuwafanya kuchukua viti vingi vya ubunge na nafasi zingine!!! Tumeshuhudia kwa mara ya kwanza upinzani Kupeleka WABUNGE wengi bungeni Hongereni Sana.

Baada ya hapo taifa limekua kwenye Vita kubwa Sana ya kuhakikisha democrasia Au upinzani unakufa Tanzania na hii tumeona viongozi watawala wakitamka hadharani bila kuogopa yeyote..

Tumeshuhudia wabunge wakipigwa risasi,tumeshughudia kwenye chaguzi raia wakipigwa na Kujeruhiwa vibaya..Tumeshuhudia watu wanaopingana na watawala wakitekwa....

Pamoja na hayo tunaona wananchi wakilalamika Ugumu wa uchumi... Nimefanikiwa kutembea Tanzania nzima na kwakua kazi yangu inaniruhusu kufanya maswali na watanzania wenzangu nimeshughudia Kila mtu akilia na Ugumu wa maisha.....

OMBI KWA UKAWA:NIMESIKIA VIONGOZI MKITAKA KUSUSIA UCHAGUZI MDOGO HAPO MWAKANI JANUARY.....

MIMI NAONA TUTAWAPA NAFASI YA HAWA CCM KUTAWALA MAPEMA SAAANA NAOMBA TUKUBALI KUINGIA KWENYE KAMPENI NA TUKALINDE KULA ZETU WENYEWE!!! SIKU WATAKAPO ANZISHA FUJO AU KUPINDUA MATOKEO KAMA KAWAIDA YAO TUTAJUA JINSI YA KUKABILIANA NAO KWENYE UCHAGUZI WA 2020....

TUSIZIMIE MOYO WAO WANATAJA MAGARI NA FARASI NA SI TUNAE MUNGU ALIYE HAI

ENYI VIZAZI VYA UHARIBIFU, JE KUNA MTU MIONGONI MWENU AISHIE KWA AMANI KATIKA UOVU NA UONEVU?

LET US GO FOR ELECTION:MSIRUDISHE MAJESHI NYUMA!!

CC:ALL UKAWA MEMBERS:

KING
 
Hivi ukawa haijaRIP kweli? Usije ukawa unaleta uchuro wa kumuandikia waraka marehemu!
 
Binafsi sioni faida ya kususia uchaguzi alaf hakuna kinachoendelea, CCM inaongeza tu idadi ya wabunge na madiwani. Ifanyike action moja ya kuonesha kwamba watu wanataka demokrasia, sasa wakiishia kwenye matamko hata 2020 watatamka pia.. Haki inakuja kwakupambania sio kulialia
 
Habari zenu wana ukawa wote duniani!!!

Ninaomba kuwapongeza viongozi wote na wanachama wote wa upinzani waliounda umoja huu, pia nitambue mchango wenu katika kukuza democrasia nchini.

Kwa hakika umoja wenu wa mwaka 2015 ulileta ushindani mkubwa na mafanikio makubwa sana katika uchaguzi na hadi kuwafanya kuchukua viti vingi vya ubunge na nafasi zingine!!! Tumeshuhudia kwa mara ya kwanza upinzani Kupeleka WABUNGE wengi bungeni Hongereni Sana.

Baada ya hapo taifa limekua kwenye Vita kubwa Sana ya kuhakikisha democrasia Au upinzani unakufa Tanzania na hii tumeona viongozi watawala wakitamka hadharani bila kuogopa yeyote..

Tumeshuhudia wabunge wakipigwa risasi,tumeshughudia kwenye chaguzi raia wakipigwa na Kujeruhiwa vibaya..Tumeshuhudia watu wanaopingana na watawala wakitekwa....

Pamoja na hayo tunaona wananchi wakilalamika Ugumu wa uchumi... Nimefanikiwa kutembea Tanzania nzima na kwakua kazi yangu inaniruhusu kufanya maswali na watanzania wenzangu nimeshughudia Kila mtu akilia na Ugumu wa maisha.....

OMBI KWA UKAWA:NIMESIKIA VIONGOZI MKITAKA KUSUSIA UCHAGUZI MDOGO HAPO MWAKANI JANUARY.....

MIMI NAONA TUTAWAPA NAFASI YA HAWA CCM KUTAWALA MAPEMA SAAANA NAOMBA TUKUBALI KUINGIA KWENYE KAMPENI NA TUKALINDE KULA ZETU WENYEWE!!! SIKU WATAKAPO ANZISHA FUJO AU KUPINDUA MATOKEO KAMA KAWAIDA YAO TUTAJUA JINSI YA KUKABILIANA NAO KWENYE UCHAGUZI WA 2020....

TUSIZIMIE MOYO WAO WANATAJA MAGARI NA FARASI NA SI TUNAE MUNGU ALIYE HAI

ENYI VIZAZI VYA UHARIBIFU, JE KUNA MTU MIONGONI MWENU AISHIE KWA AMANI KATIKA UOVU NA UONEVU?

LET US GO FOR ELECTION:MSIRUDISHE MAJESHI NYUMA!!

CC:ALL UKAWA MEMBERS:

KING
uko wapi huo UKAWA?
 
Haki cku zote udaiwa kutoka kwa watawala haitolewagi na watawala kama zawaidi- Nukuu ya nelson mandela. Hivyo vzr ukawa watie timu tu kutathimini kukubalika kwao majimboni ili wakionewa tena jamii itawaonea huruma kwa dhuluma wanayofanyiwa
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom