UKAWA, Mmejiandaaje kupokea majibu ya jumla ya matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa?!

Ni swali muhimu na angalizo!

CCM ni wezi wasio na adabu.

Kuna uwezekano mkubwa matokeo ya jumla yakachakachuliwa na
TAMISEMI-GHASIA hii ya CCM.

Viongozi wa UKAWA mmejiandaaje kukabiliana na ghiliba hizo?

CC: SLAA, MNYIKA, LIPUMBA, MBATIA MBOWE.
hiyo haijalishi, wameweka mapingamizi mengi ila wafahamu huku mtaani UKAWA ni wanatuongoza na hatuna mchezo na magamba.
 
We anophelesi mbu uenezae malaria;
Matokeo ya jumla yatabadikisha wenyeviti wa mitaa na wajumbe?
Kasi si hvyo basi ushindi uliokwisha usikia ndio ushindi wenyewe.

Ushindi mwingine subiri Oct 2015.

Mkuu usijisahau. Hivi sasa tunajiandaa kuipiga chini katiba waliyojipendekezea. Baada ya hapo ndo tunamaliza na uchaguzi mkuu 2015
 
Last edited by a moderator:
Ni swali muhimu na angalizo!

CCM ni wezi wasio na adabu.

Kuna uwezekano mkubwa matokeo ya jumla yakachakachuliwa na
TAMISEMI-GHASIA hii ya CCM.

Viongozi wa UKAWA mmejiandaaje kukabiliana na ghiliba hizo?

CC: SLAA, MNYIKA, LIPUMBA, MBATIA MBOWE.

NISIKILIZE VIZURI ...! Kabla ya Uchaguzi CCM walikuwa na Jumla ya viti vingapi nchi nzima. NA baada ya Uchaguzi CCM imeongeza idadi hiyo au imepunguza ... ? Kama huwezi jibu ..Muachie Hawa Ghasia tupu .. Ajibu kabla ya kujiuzulu kama alivyodai. ...
 
CCM imeshinda kwa asilimia 89.35.

Tumia Bongo yako vizuri ...alafu leta jibu hapa.

Asilimia 89.35 ni ushindi wa uchaguzi huu. Niambie uchaguzi uliopita walishinda kwa asilimia ngapi.

Alafu jibu swali wameongeza au wamepunguza nguvu ya ushindi wao?

Na hicho walichopoteza kimekwenda kwa kina nani?
 
Matokeo ya jumla maana yake nini?

Ukiwa na laki moja mfukoni ukapigwa kabari ukaporwa elfu 40 wewe unakuwa umegain nini hapo? Loser or winner?

Mkuu ngoja GHASIA alete ghasia kwenye kutoa matokeo ya nchi nzima ndio utanilewa!
 
Lazima tukubali kuwa viongozi wa vyama vya upinzani hawakufanya juhudi za kutosha katika matayarisho ya uchaguzi huu...na ccm inaendelea kutumia udhaifu huu kukaa madarakani.vyama vitumie ruzuku kujenga msingi katika ngazi za mitaa...vyama vyetu vinatumia style kama ya vyama vya ukombozi...hii si sahihi vyama viandikishe wanachama wengi na kuhakikisha wanatengeneza matawi ya chama hadi ngazi ya vitongoji..wananchi ngazi ya chini wamekosa uongozi lakini wapo tayari na tusilaumu ccm kwa ujinga
 
Matokeo tayari yameshwa tanganzwa ktk vituo vya kupigia kura....ukawa wamefanya vizuri sanaa...

Ushindi wa jumla haituhusu sanaa, tunaangalia tumeweza ongeza wenyeviti wangapi kitu ambacho ndo kilikuwa kinapigiwa kelele sanaa na wanamapinduzi wakiwataka ukawa kuwa na viongozi kuanzia shina...hilo sasa limefanikiwa kwa kiwango cha hali ya juu...

Manyinyiemu aka majambazi yamepita kwa mapingamizi, lakini sehemu ukawa walizosimamisha wagombea cha moto wamekiona...

Sasa ni mwendo wa kuwaelimisha watu juu ya gazeti la udaku lililoandikwa na kubwa la maadui, fidadi nyangumi, jizi la havard, aka A.Chenge akishirikiana na mnafiki six kulipigia kura ya HAPANA
 
Kura zimepigwa vituoni na zimehesabiwa vituoni na matokeo yametangazwa vituoni, wewe mwenzetu unasubiri matokeo yepi?

Aisee hata mimi namshangaa huyu jamaa maana matokeo yashatangazwa kwenye vituo toka juzi kama anataka matokeo ya jumla si ajumlishe tu au hawezi na bado anasubiri Hawa Ghasia achakachue.
 
NISIKILIZE VIZURI ...! Kabla ya Uchaguzi CCM walikuwa na Jumla ya viti vingapi nchi nzima. NA baada ya Uchaguzi CCM imeongeza idadi hiyo au imepunguza ... ? Kama huwezi jibu ..Muachie Hawa Ghasia tupu .. Ajibu kabla ya kujiuzulu kama alivyodai. ...

pia atwambie
1. kabla ya uchaguzi ccm ilikuwa na viti vingapi na upinzani vingapi?
2. ccm imeshinda vingapi kwanjia harari na upinzani vingapi kwa njia harari
3. atwambie ccm imepata vingapi kwa ujanjaujanja a.k.a mapingamizi
4. akifanya ya juu hayo 1-3, ndipo atupe na ushindi wa jumla wa chama cha mapingamizi (ccm)
 
pia atwambie
1. kabla ya uchaguzi ccm ilikuwa na viti vingapi na upinzani vingapi?
2. ccm imeshinda vingapi kwanjia harari na upinzani vingapi kwa njia harari
3. atwambie ccm imepata vingapi kwa ujanjaujanja a.k.a mapingamizi
4. akifanya ya juu hayo 1-3, ndipo atupe na ushindi wa jumla wa chama cha mapingamizi (ccm)

Ushindi wa jumla ni kwamba Chadema yaendelea kupumuliwa
 
Lazima tukubali kuwa viongozi wa vyama vya upinzani hawakufanya juhudi za kutosha katika matayarisho ya uchaguzi huu...na ccm inaendelea kutumia udhaifu huu kukaa madarakani.vyama vitumie ruzuku kujenga msingi katika ngazi za mitaa...vyama vyetu vinatumia style kama ya vyama vya ukombozi...hii si sahihi vyama viandikishe wanachama wengi na kuhakikisha wanatengeneza matawi ya chama hadi ngazi ya vitongoji..wananchi ngazi ya chini wamekosa uongozi lakini wapo tayari na tusilaumu ccm kwa ujinga

Una ushauri mzuri sana. Tatizo hao unaowashauri hawashauriki
 
Ushindi wa jumla ni kwamba Chadema yaendelea kupumuliwa

Mtaani kwangu tumeipiga chini Ccm mwenyekiti na wajumbe wote Chadema imebeba.

Haya ndio matokeo muhimu kwangu hayo mengine kaa na Hawa Ghasia mtunge uongo wa kumdanganya Kikwete, tena mumwambie Ccm imeshinda kwa 99% msimtajie Ukawa imezoa viti vingapi mtamuuwa.
 
Lazima tukubali kuwa viongozi wa vyama vya upinzani hawakufanya juhudi za kutosha katika matayarisho ya uchaguzi huu...na ccm inaendelea kutumia udhaifu huu kukaa madarakani.vyama vitumie ruzuku kujenga msingi katika ngazi za mitaa...vyama vyetu vinatumia style kama ya vyama vya ukombozi...hii si sahihi vyama viandikishe wanachama wengi na kuhakikisha wanatengeneza matawi ya chama hadi ngazi ya vitongoji..wananchi ngazi ya chini wamekosa uongozi lakini wapo tayari na tusilaumu ccm kwa ujinga
Vijana ambao tunajitambuwa hatuhitaji uwanachama tunacho hitaji nikutomomeza wezi wa kubwa ccm kwa njia yoyote ile card na uwanachama ni venu bakini navyo nyie ccm jipeni ata card bure kama mlivyo jipa pesa kwa rumbesa na viroba sisi tupo mtaani tunawasubiri 2015
 
kukubali kujikosoa ni njia bora ya kufanikisha jambo labda kama chama ni kwa maslahi binafsi...hatuwezi kusema tu ccm imepita bila kupingwa maeneo mengi kwa kumtazama adui wako..tuangalie pale tulipokosea kupelekea hali hiyo vinginevyo haya yanayotegemewa yatabaki kuwa story
 
Hawajamaa maccm huwa siwaelewi utasikia tunajipongeza tumepata mitaa 120 kati ya 140 bila kufikili kuwa mitaa hiyo yote ilikua yakwao huwa sielewi wanajipongeza kwalipi hapo,nasikia hata ndugu zetu kule Dom wameanza kubadilika wametoa mitaa kwa wapinzani wakati halikuwepo hilo hongereni kwakujitambua.
 
Back
Top Bottom