mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,039
- 35,921
Fanyeni mnavyofanya kama ni goli la masaburi au tick tack sijui ila sisi kazi yetu kupiga kura tu tarehe 25 Oct 2015,
Tangu 1995 tumewavumilia mnatuamsha subuhi asubuhi kuwapigia kura wengine hawaendi makanisani mwaka huu wapinzani mkomae mpaka kieleweke vinginevyo sidhani tena kama kuna mtu ataamka asubuhi asubuhi mwaka 2020 na kwenda kuwapigia kura na na amini watanzania wenzangu pia watawakatia tamaa .
Tangu 1995 tumewavumilia mnatuamsha subuhi asubuhi kuwapigia kura wengine hawaendi makanisani mwaka huu wapinzani mkomae mpaka kieleweke vinginevyo sidhani tena kama kuna mtu ataamka asubuhi asubuhi mwaka 2020 na kwenda kuwapigia kura na na amini watanzania wenzangu pia watawakatia tamaa .