Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
Namuomba Mungu CCM ianguke katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kukabidhi dola kwa UKAWA.
Sina hamu na CCM,chama kilichojaa wezi na mafisadi,wanatamba hadharani kuwa ni magamba sugu,wao ndio wenye nchi nk. Hatuwezi kuendelea kuwa chini ya hawa majizi.
Mfano Chenge kila kashfa yeye yumo,kila kashfa inayohusiana na wizi wa mali ya umma yeye yumo,kulikoni?
Na ikumbukwe kuwa Chenge amewahi kuwa waziri,mwanasheria mkuu wa serikali,mwenyekiti wa kamati ya bajeti nk.
Anajua hata waliompa vyeo hivyo nao ni wezi kama yeye,iweje awe na kiburi kiasi hiki halafu hata hachukuliiwi hatua za kisheria?
UKAWA mulikeni utawala wa Kikwete,Mkapa nk hawa ndio walioasisi mtandao wa mafisadi,haiwezekani watu wawe na kiburi kiasi hiki.
Hata hao wakubwa wao wanajua kuwa ni wezi na mafisadi, ndio maana huwezi kuwakuta wanazungumzia ufisadi na wizi,na wanaogopa kuwapeleka akina Chenge mahakamani kwa kuwa wanajua kuwa mtandao wa wezi na mafisadi utafunuliwa.
UKAWA mkishika dola muanze na mawaziri wa awamu ya nne,ya tatu tumechoka kudharauliwa na kuambiwa kauli za kijinga kama za Chenge.
Sina hamu na CCM,chama kilichojaa wezi na mafisadi,wanatamba hadharani kuwa ni magamba sugu,wao ndio wenye nchi nk. Hatuwezi kuendelea kuwa chini ya hawa majizi.
Mfano Chenge kila kashfa yeye yumo,kila kashfa inayohusiana na wizi wa mali ya umma yeye yumo,kulikoni?
Na ikumbukwe kuwa Chenge amewahi kuwa waziri,mwanasheria mkuu wa serikali,mwenyekiti wa kamati ya bajeti nk.
Anajua hata waliompa vyeo hivyo nao ni wezi kama yeye,iweje awe na kiburi kiasi hiki halafu hata hachukuliiwi hatua za kisheria?
UKAWA mulikeni utawala wa Kikwete,Mkapa nk hawa ndio walioasisi mtandao wa mafisadi,haiwezekani watu wawe na kiburi kiasi hiki.
Hata hao wakubwa wao wanajua kuwa ni wezi na mafisadi, ndio maana huwezi kuwakuta wanazungumzia ufisadi na wizi,na wanaogopa kuwapeleka akina Chenge mahakamani kwa kuwa wanajua kuwa mtandao wa wezi na mafisadi utafunuliwa.
UKAWA mkishika dola muanze na mawaziri wa awamu ya nne,ya tatu tumechoka kudharauliwa na kuambiwa kauli za kijinga kama za Chenge.