UKAWA: Maandamano ya kulaani unyama uliofanywa na Polisi

politiki

JF-Expert Member
Sep 2, 2010
2,376
1,507
tungependa kujua ni lini UKAWA itaandaa maandamano ya amani ya kulaani vitendo vya kinyama walichofanyiwa cuf hivi karibuni tumeona hasira za wabunge which are rightly so lakini nasi wananchi na wapenda amani tungependa
kuonyesha misimamo yetu kuwa hatukubaliani na unyama huuu please please.

tumeona ushirikiano mkubwa kati ya viongozi kisheria na kiutendaji lakini sisi wananchi tungependa
kuunga mkono mashirikiano hayo kwa maandamano makubwa ya kuwaonyesha polisi kwamba vitisho
vyao ni bure na havina uwezo wa kumtisha mtu yeyote na uthibitsho ni maelfu ya watu kwy maandamano.

PENDEKEZO
tungeomba maandamano hayo mgeni rasmi awe Prof.Lipumba na majina ya watu waliokamatwa na kujeruiwa
na polisi yatajwe/yasomwe hadharani na kama ikiwezekana kikapu cha UKAWA kipite kwa ajili ya kusaidia gharama za kisheria na kimatibabu zinazowakabili wahusika. Asanteni
 
Haya maandamano ni muhimu sana kufanyika na yatakuwa na uzito mkubwa sana kama viongozi wote wa juu wa UKAWA wataweza kushiriki ili kuonyesha mshikamano wao.
 
politiki huna shughuli ya kufanya tukupatie? maandamano ya amani kulaani......utalaaniwa wewe kwanza kwani ukianzisha vurugu nasi tutaandamana kukulaani na pengine kukutandika bakora bila kusubiri polisi . ukitaka kufanya maandamano yako andamana kutoka mkuranga mpaka mabgala . usivuruge shughuli za kiuchumi mjini
tungependa kujua ni lini UKAWA itaandaa maandamano ya amani ya kulaani vitendo vya kinyama walichofanyiwa cuf hivi karibuni tumeona hasira za wabunge which are rightly so lakini nasi wananchi na wapenda amani tungependa
kuonyesha misimamo yetu kuwa hatukubaliani na unyama huuu please please.

tumeona ushirikiano mkubwa kati ya viongozi kisheria na kiutendaji lakini sisi wananchi tungependa
kuunga mkono mashirikiano hayo kwa maandamano makubwa ya kuwaonyesha polisi kwamba vitisho
vyao ni bure na havina uwezo wa kumtisha mtu yeyote na uthibitsho ni maelfu ya watu kwy maandamano.

PENDEKEZO
tungeomba maandamano hayo mgeni rasmi awe Prof.Lipumba na majina ya watu waliokamatwa na kujeruiwa
na polisi yatajwe/yasomwe hadharani na kama ikiwezekana kikapu cha UKAWA kipite kwa ajili ya kusaidia gharama za kisheria na kimatibabu zinazowakabili wahusika. Asanteni
 
tungependa kujua ni lini UKAWA itaandaa maandamano ya amani ya kulaani vitendo vya kinyama walichofanyiwa cuf hivi karibuni tumeona hasira za wabunge which are rightly so lakini nasi wananchi na wapenda amani tungependa
kuonyesha misimamo yetu kuwa hatukubaliani na unyama huuu please please.

tumeona ushirikiano mkubwa kati ya viongozi kisheria na kiutendaji lakini sisi wananchi tungependa
kuunga mkono mashirikiano hayo kwa maandamano makubwa ya kuwaonyesha polisi kwamba vitisho
vyao ni bure na havina uwezo wa kumtisha mtu yeyote na uthibitsho ni maelfu ya watu kwy maandamano.

PENDEKEZO
tungeomba maandamano hayo mgeni rasmi awe Prof.Lipumba na majina ya watu waliokamatwa na kujeruiwa
na polisi yatajwe/yasomwe hadharani na kama ikiwezekana kikapu cha UKAWA kipite kwa ajili ya kusaidia gharama za kisheria na kimatibabu zinazowakabili wahusika. Asanteni
Inaonekana sera ya ukawa ni maandamano tu
 
wakuu naomba tutumie neno "matembezi ya mshikamano" kama chama cha mafisadi walivyotumia kule songea leo maana naona ndio lugha wanayoielewa hawa policcm!
 
mtakuwa munanipa updates kitakachojiri kwenye hayo maandamano
 
tungependa kujua ni lini UKAWA itaandaa maandamano ya amani ya kulaani vitendo vya kinyama walichofanyiwa cuf hivi karibuni tumeona hasira za wabunge which are rightly so lakini nasi wananchi na wapenda amani tungependa
kuonyesha misimamo yetu kuwa hatukubaliani na unyama huuu please please.

tumeona ushirikiano mkubwa kati ya viongozi kisheria na kiutendaji lakini sisi wananchi tungependa
kuunga mkono mashirikiano hayo kwa maandamano makubwa ya kuwaonyesha polisi kwamba vitisho
vyao ni bure na havina uwezo wa kumtisha mtu yeyote na uthibitsho ni maelfu ya watu kwy maandamano.

PENDEKEZO
tungeomba maandamano hayo mgeni rasmi awe Prof.Lipumba na majina ya watu waliokamatwa na kujeruiwa
na polisi yatajwe/yasomwe hadharani na kama ikiwezekana kikapu cha UKAWA kipite kwa ajili ya kusaidia gharama za kisheria na kimatibabu zinazowakabili wahusika. Asanteni

Hilo wazo cyo baya lakini CCM na idara zake haziruhusu maandamano hata kama ni ya amani...watu watapigwa na kupewa kesi za jinai. Me ningeshauri tujibu mapigo kwenye sanduku la kura
 
Nasubiri nione mtakavyo pata kipigo mbele ya Polisi. Haaaaaa Wapigwe tu. Pinda MP
 
Back
Top Bottom