The Elephant
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 4,345
- 4,608
Nimefika kituoni saa kumi na moja asubuhi hapa Kahama shule ya Sekondari Nyasubi chakushangaza ni wasimamizi wale wakachukua meza ofisi za waalimu zikiwa zimefungwa droo.
Tukawaambia wafungue droo wakadai hawana funguo! Mgombea wa udiwani au ubunge fika eneo la tukio na haya madroo kama hakuna funguo zivunjwe ili kukagua.
Tukawaambia wafungue droo wakadai hawana funguo! Mgombea wa udiwani au ubunge fika eneo la tukio na haya madroo kama hakuna funguo zivunjwe ili kukagua.