TEKNOLOJIA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 4,306
- 2,559
Waislamu humuwataki? Im not surprise
Limerekebishwa hilo pitia tena hapo juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waislamu humuwataki? Im not surprise
..waachie ukawa ya kwaokwa uzoefu alionao na kwa jinsi alivyofanya kazi nzito ya kuujenga upinzani kwa mwavuli wa ukawa, ni wakati muafaka sasa asimame kama mkuu wa nchi inapokuja 2015 election. anatosha.
MBIO ZA URAIS NDANI YA UKAWA-2015.
Nani anayefaa kupeperusha Bendera ya UKAWA
ktk Uchaguzi Mkuu Oktaba 2015.
(A)Dr.Slaa wa Chadema.
(B) Prof. Lipumba wa CUF.
(C) Emannuel makaidi
Toa na sifa ya kila mmoja na jinsi anavyoifahamu
nchi.
unaSEMA KWELI KABISAUkawa bila dr slaa hawawezi kutoa ushindani. Tukumbuke mwaka 2010 alitoa challenge lwa ccm. Dr slaa a man to challenge ccm. Very intellegent and objective...wise and big ambition. Tukiacha ushabiki. Juzi nilimsikia kwenye hotuba ya kumbukumbuku ya mv bukoba. A man anastahili kugombea urais kwa ukawa na watapata wabunge wengi sana kwa vyama vyote. Tofauti na hapo sioni mtu mwingine kwwangu mmi. CCM watakuja na EL ambaye atapambana sana na dr slaa. Tofauti na lowasa mtu wa kupambana na dr slaa kwa ccm ni mwigulu nchemba walau...na mtoto wa mwinyi. Tusubiri yetu macho. UKawa mpeni dr slaa akimbize na mtapata wabunge wengi mno mje na sera nzuri. CCM ni chama imara sana africa inabd mjipange vizuri kukichalenge