Enzymes
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 4,334
- 3,004
Magufuli hataki stori za nitashughulikia!!
Ahadi za John Magufuli 360°. Kama vile JK hajafanya kitu!
Magufuli hataki stori za nitashughulikia!!
Kwani we unaona wana akili mzuri hawa ugomvi ni sehemu ya maisha yao hivyo waende kwa kafulila kudumisha migogoro
Siku zote tunasema hawa ni vibaka
tindo hivi kipindi UKAWA walivyomuandaa mgombea wa NCCR jimboni humu si ilimaanisha anayekubalika ni mtu wa NCCR?sasa awamu hii mnategemea vipi mtu wa CHADEMA ASHINDE??