UKAWA hatutawaelewa

Kigodoro

JF-Expert Member
Apr 25, 2014
1,660
1,676
Ukawa, watanzania tunataka kuona viongozi wote waliohusika ama moja kwa moja au kwa namna moja au nyingine wawajibishwe!!!
Mkila njama na hao ccm ya kuwalinda mafisadi hatutawaelewa. Hatuoni sababu ya ninyi kuenda kufanya mazungumzo pembeni na ccm. Kwann?
Hamjiulizi kwann hao wakubwa wanawabembembeleza? Mnaitumia hiyo fursa kushughulikia suala hili? Tunata Pinda , Sada, Werema, Muhongo na naibu wake wajiuzuru
 
spika alisema wahusika wamegoma kujiuzulu nini kifanyike sasa
 
Wameenda kupewa majina ya zile account zingine,subiri uone matokeo baada ya kikao.
 
Ukawa, watanzania tunataka kuona viongozi wote waliohusika ama moja kwa moja au kwa namna moja au nyingine wawajibishwe!!!
Mkila njama na hao ccm ya kuwalinda mafisadi hatutawaelewa. Hatuoni sababu ya ninyi kuenda kufanya mazungumzo pembeni na ccm. Kwann?
Hamjiulizi kwann hao wakubwa wanawabembembeleza? Mnaitumia hiyo fursa kushughulikia suala hili? Tunata Pinda , Sada, Werema, Muhongo na naibu wake wajiuzuru
Wote hao lao moja; kuna viongozi wa UKAWA wamekwarua mpunga wa haja toka escrow na huko nje wanaenda kuonyeshana orodha na kutishana ili watu wafunge midomo yao mwanaharamu apite chezya mafia wewe
 
Unauhakika kwamba ukawa wanabembelezwa,wabembelezwe kwa kipi mbona ukawa waupe sana kwenye mambo ya msingi ila ukitaka kujua ukawa kuwa wapo muende kwenye mambo ya kijinga kama kufanya fujo na kuandamana bila mantiki.
 
Wote hao lao moja; kuna viongozi wa UKAWA wamekwarua mpunga wa haja toka escrow na huko nje wanaenda kuonyeshana orodha na kutishana ili watu wafunge midomo yao mwanaharamu apite chezya mafia wewe

Mama ako Asumpta aliambiwa athibitishe akabaki kubwabwaja kama wewe
 
Wameenda kupewa majina ya zile account zingine,subiri uone matokeo baada ya kikao.

Hata wakipewa majina mengine huo ni mchakato mwingine ambao haujafanyiwa uchunguzi kwa hiyo hautahusika. Mjadala uliopo ni namna gani ya kuwawajibisha hao majizi ya kimataifa.:sad:
 
UKAWA ni genge la watu wasio na malengo maalum. Wanaongozwa na mihemko badala ya facts..

Ni rahisi sana kurubunika.
 
Ukawa, watanzania tunataka kuona viongozi wote waliohusika ama moja kwa moja au kwa namna moja au nyingine wawajibishwe!!!
Mkila njama na hao ccm ya kuwalinda mafisadi hatutawaelewa. Hatuoni sababu ya ninyi kuenda kufanya mazungumzo pembeni na ccm. Kwann?
Hamjiulizi kwann hao wakubwa wanawabembembeleza? Mnaitumia hiyo fursa kushughulikia suala hili? Tunata Pinda , Sada, Werema, Muhongo na naibu wake wajiuzuru

Bila kumsahau Maswi.

Hawataeleweka na ni kawaida kuwa hawana uwingi basi zoezi kama la jana ndiyo maamuzi wanayoweza kuyafanya wawapishe wenye Nchi yao wafanye Maamuzi -CCM

Ni ajabu iliyoje mpaka leo hii baadhi ya Mapendekezo na maamuzi ya Kamati ya Mwakyembe mpaka leo 5yrs hayajatekelezwa-wanataka kudhauriliwa mpaka lini?



 
Unauhakika kwamba ukawa wanabembelezwa,wabembelezwe kwa kipi mbona ukawa waupe sana kwenye mambo ya msingi ila ukitaka kujua ukawa kuwa wapo muende kwenye mambo ya kijinga kama kufanya fujo na kuandamana bila mantiki.

Weupe kama matak.o yako pumbavu zako mk.undu wewe
 
Mama ako Asumpta aliambiwa athibitishe akabaki kubwabwaja kama wewe
Ushahidi gani unataka nikuletee zile rumbesa na viroba au? wewe subiri waonyeshwe orodha ya waliolamba ngawira halafu uwaone watakavyonywea na kupitisha maazimio ya serikali badala ya maazimio ya kamati
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom