Ukawa, watanzania tunataka kuona viongozi wote waliohusika ama moja kwa moja au kwa namna moja au nyingine wawajibishwe!!!
Mkila njama na hao ccm ya kuwalinda mafisadi hatutawaelewa. Hatuoni sababu ya ninyi kuenda kufanya mazungumzo pembeni na ccm. Kwann?
Hamjiulizi kwann hao wakubwa wanawabembembeleza? Mnaitumia hiyo fursa kushughulikia suala hili? Tunata Pinda , Sada, Werema, Muhongo na naibu wake wajiuzuru
Mkila njama na hao ccm ya kuwalinda mafisadi hatutawaelewa. Hatuoni sababu ya ninyi kuenda kufanya mazungumzo pembeni na ccm. Kwann?
Hamjiulizi kwann hao wakubwa wanawabembembeleza? Mnaitumia hiyo fursa kushughulikia suala hili? Tunata Pinda , Sada, Werema, Muhongo na naibu wake wajiuzuru