UKAWA Bai Bai, ndio habari ya Mjini

Mr Chin

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
4,625
1,024
12079196_848740098558075_7838069293272199765_n.jpg


12122575_848739648558120_224799890603969867_n.jpg


12096045_848739788558106_8120159411489596384_n.jpg


UKAWA wakiona hizi picha lazima WAPANIKI.
 
CCM ndioa habari ya mujini. .hatuyumbishwi na galasa letu wenyewe ..hapana chezea chama kubwa hiyoo
 
12079196_848740098558075_7838069293272199765_n.jpg


12122575_848739648558120_224799890603969867_n.jpg


12096045_848739788558106_8120159411489596384_n.jpg


UKAWA wakiona hizi picha lazima WAPANIKI.

Najua mavi yanawabana sana, na wamepanic sana, waswahili wanasema samaki anapokuwa majini huwa anakuwa na nguvu sana, lakini ukimtoa ndani ya maji anapoteza nguvu za asili, Lowasa kwa sasa hana nguvu tena, Lowasa alisema watu wakishapiga kura waondoke hiyo kazi ya kutangaza mshindi yeye ataifanya, sasa baada ya kuona hali ni ngumu na yy kaamua kuungana na Mbowe kupiga kelele kuhusu tume, na safari hii sina hakika baada ya uchaguzi nn kitaendelea kwenye vyama vyao ndani ya ukawa.
 
Mumewaokota kwa fedha na malori harafu mwajigamba, dah! Poleni sana. Wote hao ni UKAWA kwa taarifa yako. Waji danganya sasa ndugu
 
Back
Top Bottom