UKAWA anzeni kuandikisha wapiga kura wenu

Mutakyamirwa

JF-Expert Member
Jan 24, 2011
4,942
1,357
Tume ya uchaguzi ndo yenye jukukumu kikatiba kuandikisha, kuhakiki na kubandika majina ya wapiga kura. Jukumu hilo kwa hira za kisiasa linaonekana kuwalemea Lubuva na team yake. Chakusikitikisha UKAWA wameliona hilo na kuishia kulitolea tamko tu!

Tunataka vitendo.....mojawapo ya mambo ya kufsnya ni hilo hapo juu-Anza kuandikisha wapiga kura wenu.....iambieni mahakama, jeshi la wananchi na jeshi la polisi kuwa mnajivika jukumu hilo baada ya tume ya Lubuva kutaka kuindumbikiza nchi ktk machafuko pasipp sababu.

Wanajf...hivi ni sahihi UKAWA kishia ktk tamko na kusibii rehema za serikali ktk hili? Leteni mawazo mbadala....way forward.
 
Kwahiyo na wewe umeioma hii ni mada ya kujadiri? Unajua tume iko kisheria? Sina haja ya kukuelimisha, hapa najua mmechanganyiwa tu, hamna cha kufanya bali ni kuropoka tu sasa
 
Kwahiyo na wewe umeioma hii ni mada ya kujadiri? Unajua tume iko kisheria? Sina haja ya kukuelimisha, hapa najua mmechanganyiwa tu, hamna cha kufanya bali ni kuropoka tu sasa

Tuelimishane. Sheria inasemaje iwapo tume haitatimiza wajibu wake kisheria na ktk muda uliopangwa?

By they way, we ni mtanzania? Umeishajiandikisha?....kwa mwono wako unafikiri tume itaweza kuandika watanzania ktk mikoa yote zaidi ya 21m?
 
kinachotakiwa ni ukawa kufuatilia maeneo yale ambayo watu hawajaandikishwa na kuiambia tume iwaandikishe.
 
Nakumbuka Mnyika alipiga kambi Njombe....sijajua nini kinaendelea baada ya kuailisha uandikishwaji huko Mbeya. All in all tuimbie serikali nini chakufanya/tutafanya endepo tume inaendelea kutufainya tuishi kwa matumain huku hakuna.kitakachofanyika Octoba.
 
Tume ya uchaguzi ndo yenye jukukumu kikatiba kuandikisha, kuhakiki na kubandika majina ya wapiga kura. Jukumu hilo kwa hira za kisiasa linaonekana kuwalemea Lubuva na team yake. Chakusikitikisha UKAWA wameliona hilo na kuishia kulitolea tamko tu!

Tunataka vitendo.....mojawapo ya mambo ya kufsnya ni hilo hapo juu-Anza kuandikisha wapiga kura wenu.....iambieni mahakama, jeshi la wananchi na jeshi la polisi kuwa mnajivika jukumu hilo baada ya tume ya Lubuva kutaka kuindumbikiza nchi ktk machafuko pasipp sababu.

Wanajf...hivi ni sahihi UKAWA kishia ktk tamko na kusibii rehema za serikali ktk hili? Leteni mawazo mbadala....way forward.
Dalili za kuanza kuchanganyikiwa ni hizi
 
Back
Top Bottom