Ukatili wa Polisi: Afisa wa polisi anaswa kwa kamera akimtesa mtuhumiwa

Ghazwat

JF-Expert Member
Oct 4, 2015
23,718
66,262
Kwa mara nyingine Idara ya polisi nchini Kenya, imejipata pabaya kuhusu utumiaji wa nguvu kupita kiasi, katika kukabiliana na washukiwa wa uharifu.

Katika picha afisa wa polisi akionekana akifanyia unyama kwa kumuadhibu visivyo mwanamume mmoja eneo la viwandani mjini Nairobi.
IMG_20180406_164918_137.jpg
IMG_20180406_164844_945.jpg
IMG_20180406_164734_686.jpg
 
Utendaji kazi wa polisi haujaimarika kwa raia Afrika. Askari achukuliwe hatua kali
 
Back
Top Bottom