Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Kwa mara nyingine Idara ya polisi nchini Kenya, imejipata pabaya kuhusu utumiaji wa nguvu kupita kiasi, katika kukabiliana na washukiwa wa uharifu.
Katika picha afisa wa polisi akionekana akifanyia unyama kwa kumuadhibu visivyo mwanamume mmoja eneo la viwandani mjini Nairobi.
Katika picha afisa wa polisi akionekana akifanyia unyama kwa kumuadhibu visivyo mwanamume mmoja eneo la viwandani mjini Nairobi.