Ukatili wa Fastjet: Abiria wanacheleweshwa sana kwenye safari zao

mimi ni mtu

Member
Oct 17, 2018
32
44
Ukatili unaondelea kufanywa na Fastjet sio wa kufumbia macho. Yapata wiki nzima sasa abiria hawasafiri kwa wakati ndege zinaahirishwa bila kupewa taarifa.

Leo asubuhi nilitakiwa kusafiri kutoka Mwanza kwena Dar saa mbili asubuhi mpaka sasa navyoandika saa 21:35 ndege haijulikani inafika saa ngapi na tumewekwa tu hapa ndani na hakuna mamlaka yoyote inayotujali.

Fastjet wanafanya wanavyotaka kila siku wanapanga safari na muda wao bila kujali abiria ni uhuni uliopitiliza.

Serikali na isikie hawa jamaa wanatutesa kupita kiasi.

Msafiri aliyetekwa na Fastjet toka asubuhi mpaka sasa.
 
Ukatili unaondelea kufanywa na fastjet cio wa kufumbia macho yapata wiki nzima ss abiria hawasafir kwa wakati ndege zinaairshwa bila kupewa taarifa
Leo asubh nilitakiwa kusafir kutoka mwanza kwena dar saa mbili asubuh mpaka ss navyoandika saa 21:35 ndege haijulikan inafika saa ngap na tumewekwa tj hapa ndan na hakuna mamalka yoyote inayotujali
Fastjet wanavanha wanavyotaka kila ck wanapaka dafar namuda wao bila kujali abiria ni uhuni uliopitiliza
Serikal na icikiie hawa jamaa wanatutesa kupita kiac

Msafiri aliyetekwa na fast jet toka asubuh mpaka ss
Bombadia hukuziona? Selikali ni msafirishaji wa anga, tukusaidie nini!! Kama serikali tuna penda makampuni hayo yafe. Ili bombadia zetu zipige biashara.! Jitambue chukua hatua!!!
 
Ukatili unaondelea kufanywa na fastjet cio wa kufumbia macho yapata wiki nzima ss abiria hawasafir kwa wakati ndege zinaairshwa bila kupewa taarifa
Leo asubh nilitakiwa kusafir kutoka mwanza kwena dar saa mbili asubuh mpaka ss navyoandika saa 21:35 ndege haijulikan inafika saa ngap na tumewekwa tj hapa ndan na hakuna mamalka yoyote inayotujali
Fastjet wanavanha wanavyotaka kila ck wanapaka dafar namuda wao bila kujali abiria ni uhuni uliopitiliza
Serikal na icikiie hawa jamaa wanatutesa kupita kiac

Msafiri aliyetekwa na fast jet toka asubuh mpaka ss
Wameshagundua abiria ni wachache,kwahiyo hawawezi kusafiri na abiria wachache,na as,we know hali ni mbaya zaidi.inafika mahala ndege inasafiri na abiria 6 !!!.hii ni hasara kwa taifa kwa ujumla.
 
Ukatili unaondelea kufanywa na fastjet cio wa kufumbia macho yapata wiki nzima ss abiria hawasafir kwa wakati ndege zinaairshwa bila kupewa taarifa
Leo asubh nilitakiwa kusafir kutoka mwanza kwena dar saa mbili asubuh mpaka ss navyoandika saa 21:35 ndege haijulikan inafika saa ngap na tumewekwa tj hapa ndan na hakuna mamalka yoyote inayotujali
Fastjet wanavanha wanavyotaka kila ck wanapaka dafar namuda wao bila kujali abiria ni uhuni uliopitiliza
Serikal na icikiie hawa jamaa wanatutesa kupita kiac

Msafiri aliyetekwa na fast jet toka asubuh mpaka ss

Pole sana, ila kwa usafiri wa Mwanza Dar, swala hili ni kawaida sana. Mimi Mwenyewe Fast Jet kutoka Mwanza kuelekea Dar ilikuwa tuondoke saa tatu usiku tukaondoka baada ya masaa manne, yaani saa saba usiku. Mpaka nafika nyumbani Dar ilikuwa ni alfajiri.
Pia ilinitokea na ATCL mara moja route hiyohiyo, ilikuwa tutoke Mwanza saa tatu kasorobo usiku na 787, tukabadilishiwa ndege , na mpaka tunatoka Mwanza ilikuwa ni saa saba usku na kutua Dar karibu saa tisa.
Kuwa mvumilivu, ila airlines bado ni changamoto kwa kweli
 
Ukatili unaondelea kufanywa na Fastjet sio wa kufumbia macho. Yapata wiki nzima sasa abiria hawasafiri kwa wakati ndege zinaahirishwa bila kupewa taarifa.

Leo asubuhi nilitakiwa kusafiri kutoka Mwanza kwena Dar saa mbili asubuhi mpaka sasa navyoandika saa 21:35 ndege haijulikani inafika saa ngapi na tumewekwa tu hapa ndani na hakuna mamlaka yoyote inayotujali.

Fastjet wanafanya wanavyotaka kila siku wanapanga safari na muda wao bila kujali abiria ni uhuni uliopitiliza.

Serikali na isikie hawa jamaa wanatutesa kupita kiasi.

Msafiri aliyetekwa na Fastjet toka asubuhi mpaka sasa.
Dreamliner si ipo kwa nini uteseke? Bombardier je? Ni watu kama wewe ndio mnakwamisha juhudi za Serkali ya Awamu ya Tano.
 
Ukatili unaondelea kufanywa na Fastjet sio wa kufumbia macho. Yapata wiki nzima sasa abiria hawasafiri kwa wakati ndege zinaahirishwa bila kupewa taarifa.

Leo asubuhi nilitakiwa kusafiri kutoka Mwanza kwena Dar saa mbili asubuhi mpaka sasa navyoandika saa 21:35 ndege haijulikani inafika saa ngapi na tumewekwa tu hapa ndani na hakuna mamlaka yoyote inayotujali.

Fastjet wanafanya wanavyotaka kila siku wanapanga safari na muda wao bila kujali abiria ni uhuni uliopitiliza.

Serikali na isikie hawa jamaa wanatutesa kupita kiasi.

Msafiri aliyetekwa na Fastjet toka asubuhi mpaka sasa.
Mkuu vumilia tu kwani rahisi aghali! Fast jet inapiga mateke ya mwisho kuelekea kukata roho na muda si muda muumba ataipokea rasmi na nina hakika itaelekea kule kwenye ziwa la moto. Niliwahi kupata mateso makubwa sana hapo mwanza sababu ya Fast Jet; tangia siku hiyo nikasema sitaipanda tena hiyo ndege. Niliamua niwe nasafiri na bus toka Mwanza na dagaa zangu badala ya kujisumbua na Fast jet hadi serikali ilipoleta ndege zake ndio nikarudi kutumia ndege hizi za Bombedier na Dreamliner.
 
Hivi kuna watu bd wanapanda fastjet I wonder 🤷🏾‍♀️
 
Naona bado watanzania hawana ari ya kusafiri na ndege yaani ndege kwao ni luxury bali kwa wenzetu ninsawa na mkokoteni tu sasa kwa nini watanzania hawapendo kusafiri kwa ndege labda mazoea hawajazoea wenzetu wa kenya wanatumia sana ndge za ndani yaani ukienda wilson airport au jomo kenyatta utaona flight nyingi za ndani hata 540 inatoka nairobi to mombasa na zanzibar kila siku na abiria wanajaa kwa sababu wazhazoea ndege huku kwetu bado usafiri wa ndege haujawa usafiri muhimu kama vile TV ilikuwa kipindi cha nyuma sio muhimu ilikuwa muhimu ni Radio UNAPATA BAND MW NA SHORTWAVE
 
Back
Top Bottom