Ukatili Kwa wanawake na njia mbadala za kuwainua

Brodre

JF-Expert Member
Aug 23, 2012
2,351
1,372
Tunaweza Campaign

Objective of the campaign is to achieve a fundamental shift in social attitudes and beliefs that support and normalise violence against women. #Tunaweza Zuia Ukatili Dhidi ya Wanawake.

Tafadhali tuandikie Kisa chochote kilichowahi kukutokea/kumtokea mwanamke/msichana unayemfahamu ambacho kwa njia moja ama nyingine ni unyanyasaji/ukatili nasi tutaangalia njia mbadala ya kusaidia..

Unaweza kuwasiliana na TUNAWEZA kwa njia zifuatazo: SMS: 0712128290, Email: tunawezazuia@gmail.com, Twitter: @tunawezazuia ama kupitia Facebook Inbox kwenye page yetu Tunaweza | Facebook Tafadhali mwambie na rafiki yako. Asanteni sana kwa mchango wenu..

#Tunaweza Kuzuia Ukatili Dhidi Ya Wanawake.



 
Back
Top Bottom