Nimeisoma hii habari imeniacha hoi!, ukatili kama huu sijui utaisha lini Tanzania, inasikitisha sana na wala haijapewa uzito unaostahili kwenye vyombo vyetu vya habari!!!:angry:
"....Aliporudi tu kutoka katika pombe zake kitu cha kwanza kuniuliza ilikuwa ni wapi alipo ngombe wake, nikamwambia amekufa, akaanza kutukana na kisha akaenda nje kuleta kamba akanifunga
miguu,mikono na shingo na kufunga kwenye tendegu la kitanda na kuanza kunipiga kwa fimbo huku akidai ndama wake..."
"....Baada ya kunipiga alienda kwa wake zake wengine kwani mimi ni mke wa tano, nikabaki ndani na kichanga na wanangu wengine ingawa bado wadogo walikuwa wananisaidia kwa shida," anaeleza Sarah.
....Mwanamke huyo anasema kuwa aliendelea kutaabika ndani na vidonda vikaanza kuoza na kutoa harufu kwani hakuwa na uwezo hata wa kunyanyuka kwani msaada alioupata ni kutoka kwa watoto wake wadogo....
Habari kamili hii:
Mwanamke apigwa kikatili na mume kisa ndama kufariki
"....Aliporudi tu kutoka katika pombe zake kitu cha kwanza kuniuliza ilikuwa ni wapi alipo ngombe wake, nikamwambia amekufa, akaanza kutukana na kisha akaenda nje kuleta kamba akanifunga
miguu,mikono na shingo na kufunga kwenye tendegu la kitanda na kuanza kunipiga kwa fimbo huku akidai ndama wake..."
"....Baada ya kunipiga alienda kwa wake zake wengine kwani mimi ni mke wa tano, nikabaki ndani na kichanga na wanangu wengine ingawa bado wadogo walikuwa wananisaidia kwa shida," anaeleza Sarah.
....Mwanamke huyo anasema kuwa aliendelea kutaabika ndani na vidonda vikaanza kuoza na kutoa harufu kwani hakuwa na uwezo hata wa kunyanyuka kwani msaada alioupata ni kutoka kwa watoto wake wadogo....
Habari kamili hii:
Mwanamke apigwa kikatili na mume kisa ndama kufariki