Cute Cindy
JF-Expert Member
- Apr 9, 2019
- 211
- 591
Kwa wale waliopo Moshi Mjini mtakuwa shahidi zangu, club malindi, na black diamond zimefungwa, imebakia pub Alberto na redstone tu, sijui ni hali ya kifedha imekuwa ngumu, nahisi biashara ya disco imekuwa si nzuri, jiwe oyee