Ukata wa pesa katika maisha

jambo Tanzania

JF-Expert Member
May 29, 2017
377
281
Kama kichwa kinavyojieleza.je umewahi kuishiwa kabisa pesa katika maisha yako .je ulichukua hatua gan?.wakati watoto wanatakiwa kula na kwenda shule.kulipa pango la nyumba na kulipia bili za maji na umeme.je ulifanya nini kuondokana na hali hiyo tupe experience yako
 
Huwa inatokea mara kibao tu, Solution ni kwenda kwa bosi na kukopa mishahara mitatu au na zaidi kwa mpigo au kuweka bond kitu cha thamani.
 
Ikikutokea hivyo unapaswa kutumia hiyo nafasi kuevaluate your spending habits na kufanya maamuzi sahihi. Bahati mbaya wengi huwa wanawaza kukopa tu na life goes on kawa kawaida. Hawajifunzi kitu. Hiyo circle ya kuishiwa mara kwa mara itaendelea kukutokea tu.
 
Ikikutokea hivyo unapaswa kutumia hiyo nafasi kuevaluate your spending habits na kufanya maamuzi sahihi. Bahati mbaya wengi huwa wanawaza kukopa tu na life goes on kawa kawaida. Hawajifunzi kitu. Hiyo circle ya kuishiwa mara kwa mara itaendelea kukutokea tu.
Umenena kama "consultant"
 
Hii hali huwa inamaliza kabisa nguvu za kiume. Cha maana kama una mtu wa karibu anaeweza kukukopesha jaribu kumfata. Au kama ofisini kunasomeka jaribu pia. Ila ujifunze next time jitahidi uongeze vyanzo vya mapato.
 
Kama ni wewe kwanza ni kupe pole ndungu!!

Ni kweli hiyo hali ujitokea mara kwa mara kama unatabia ya kupuuzia mambo na kuto kujitafkari wapi unakosea!

Sio hali nzuri na sio hali ya kuzoea, lakini katika maisha kuelekea mafanikio lazima itokeee ili upate nafasi ya kujifunza na kugundua unapokosea!!

Hali kama hiyo si kweli usaidiwa na kukopa kama wengi wanavyosema humu ndani, maaana mkopo unaweza ukaongeza 100 times stress kwenye zile ulizo kua nazo mwanzo!!!

Hali hii always inakuja na maamuzi magumu na ikiambatana na kubadilika kabisa kuhusu tabia zako, maamuzi yako na hata marafk wanao kuzunguka katika maisha yako!!!

Kama una assets unazo weza kuuza zinazo weza kutatua changamoto ulizo nazo that is the way to go!

Yupo mtu aliuza kila kitu ndni akabaki na godoro tu, and he paid all the debits he owned people! Icho kitendo kili mrudisha nyuma 100 times lakini alijifunza kitu kikubwa sna kwamba anatakiwa kubadilisha life style yake!


Leo the guy ni multmilonaire ambaye anaishi a good life ambayo he is free with princples!!

Ukimuuliza atakwambia:-
* katika maisha u need plans, goals and principles ( wengi hatuna)

*katika maisha always spend according to your income! Kuwa na budget ( wengi hatuna)

*katika maisha jifunze kujifunza kutokana makosa hata kama nidogo (wengi tunachukulia kawida)

*usiiishi maisha ya show of and competition za kuspend rether invest (wengi tuna sim kali za milon lakin huna hata uwanja)

*stay away from people wanao furahia uwepo wako, maaana kunaitu wana kuunyonya bila we kujua, kaa na watu unaofurahia uwepo wao maaana kuna kitu unapata!


USHAURI
Kukopa weka ni last option, find asests zote unazo ona zinaeza kukutoa hapo ulipo, kama huna hata aset za kuuza kusolve tatizo kopa but ji evaluate aina ya maisha unaishi si mazuri!! Na iyo hali itakutokea kila màra usipo chañge!!

Jifunze kuanza upya ukiwa mtu tofauti na yule wa mwnzo! Usione aibu koze hayo ni maish yako wewe!
 
Nadhani muhimu ni kutengeneza network na watu ambao wana ramani zinazoeleweka..kupunguza maisha ya kuigiza..ishi kutokana na kipato..unajua stress zinakuja kwa kujilinganisha..live your life..kama uwezo wako ni wa vitumbua vitatu usitamani supu..thamini kila shilingi unayoipata..
 
Ukipata na ukata ndio ujifunze matumizi ya pesa zako.. Acha kununua LIABILITIES jifunze kununua ASSETS!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom