Ukaribu & mazoea vs kupenda/kupendana

tindikalikali

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
4,855
1,117
Hellow JF, leo nimekaa nikatafakari safari yangu ya maisha hasa upande wa shule. 1. Nakumbuka nikiwa std 5 kuna mtoto alihamia skul kwetu, tulitokea kuzoeana sana na karibu darasa lote walijua kuna mapenzi kati yetu, kifupi nilimpenda sana japo alikuja kunitosa nilimpomtongoza tukiwa sec. 2. Nikiwa O'level nikakutana na mrembo mwingine, niliamin toka moyon kwamba nampenda, na nikajiaminisha kwamba hatatokea mwingine kama yeye, yule binti alifel form 2 na akahama shule hivyo sikupata kumwambia na sijamuona tena mpaka leo 3. A'level nilikutana na kifaa kingine na nikaapa nikimpata sitamwacha, nilihis ni malaika aliyeshushwa kwa ajiri yangu, 2 years nilipigishwa kwata ndipo nikaja kukubaliwa, kilichofuatia ni kutoswa baada ya miezi michache 4. Nilipofika chuo nikakutana na malaika mwingine, nikahisi wote wa nyuma hawakuwa kwa ajiri yangu, nilijitahidi kumwambia unaoitwa ukwel toka moyon lakin sikufanikiwa. Sasa nipo mtaani, ila nahisi picha linaendelea. Swali; je kupenda/ukweli ni upi Ikiwa wote huwa tunasisitiza tunawapenda? Je ni ukaribu unaopelekea kile kinachoitwa kupenda? Nawasilisha.
 
yes.
ukaribu .mazoea uzaa kupendana..SIMPLY BCZ UWEZ MZOEA MTU USIYE KUWA NA CHEMISTRY NAE....mazoea ya chumban uzaa mwendo wa chumban...apochacha!

karibu ugali kisamvu km vp tuzoeane...
 
Na je swali kubwa hapo ulikuwa unapenda zaidi au kutamani maana yote yanawezekana
Ila mkuu mkali std 5 ushaanza kuwaza kupenda
Hapo ulikuwa unatamani mkuu na sio kupenda
Na ulitaka kujenga yale mazoea then ndo upate kile unachotamani na may be kizae upendo
 
Rose..........huishi vituko weye.

tindikali swali lako kwangu limekuwa gumu. Mazoea hayo unayoyazungumzia ya stage gani? kuna mazoea yale ya kwanza kabla hamjatongozana - haya huweza kuleta au kuzaa upendo kwa kuwa ni kitu ambacho bado hujakipata (na mara nyingi hata kama ana kasoro hutoiona kwa kuwa tu mazoea na tamaa vimekufunika.
Mazoea yale ya tayari mshakuwa wapenzi - haya ya kipindi hiki yana matokeo mawili- yanawezakukusababishia ukaendelea kumpenda au ukapunguza mapenzi kwa sababu mnafahamiana sasa na kwa mwanaume hatosita kukupiga chini kama una tabia zisizovumilika kwa sababu ameshakuwa nawe! Kwa mwanamke mara nyingi huwa tunatendency ya kuvumilia na kuona kuwa 'ntafanyaje na nsha'mwonjesha'
 
Hujampata bado malaika wa moyo wako au hujasema na moyo wako kua hapa ndio mwisho wa reli na ukiuendekeza moyo utakua hivyo hivyo maisha....
 
Na je swali kubwa hapo ulikuwa unapenda zaidi au kutamani maana yote yanawezekana <br />
Ila mkuu mkali std 5 ushaanza kuwaza kupenda <br />
Hapo ulikuwa unatamani mkuu na sio kupenda <br />
Na ulitaka kujenga yale mazoea then ndo upate kile unachotamani na may be kizae upendo
mh sidhan kama nilimtamani, mpaka leo huwa sielewi kipi kilinikuta..lol
 
Mkuu kitaa utapata tu atakae kufaa na kuendana na wewe, ila std 5 we mkariii,
yoteee umeliona la std 5<huo ni mwaka alohamia skuli>, hofu yangu ni pale nitakapohama mtaa ninaokaa, si nitamuona malaika mwingine?
 
mh sidhan kama nilimtamani, mpaka leo huwa sielewi kipi kilinikuta..lol

Then back to your senses
Jifunze kupenda na jifunze kuanza kupenda sio kutamani
na kama ameandikiwa wako atakuwa wako tuu hata kama akihama mkoa au shule au chuo
 
Rose..........huishi vituko weye.<br />
<br />
tindikali swali lako kwangu limekuwa gumu. Mazoea hayo unayoyazungumzia ya stage gani? kuna mazoea yale ya kwanza kabla hamjatongozana - haya huweza kuleta au kuzaa upendo kwa kuwa ni kitu ambacho bado hujakipata (na mara nyingi hata kama ana kasoro hutoiona kwa kuwa tu mazoea na tamaa vimekufunika.<br />
Mazoea yale ya tayari mshakuwa wapenzi - haya ya kipindi hiki yana matokeo mawili- yanawezakukusababishia ukaendelea kumpenda au ukapunguza mapenzi kwa sababu mnafahamiana sasa na kwa mwanaume hatosita kukupiga chini kama una tabia zisizovumilika kwa sababu ameshakuwa nawe! Kwa mwanamke mara nyingi huwa tunatendency ya kuvumilia na kuona kuwa 'ntafanyaje na nsha'mwonjesha'
hapo kwenye kuonjeshwa nna neno.
 
Then back to your senses
Jifunze kupenda na jifunze kuanza kupenda sio kutamani
na kama ameandikiwa wako atakuwa wako tuu hata kama akihama mkoa au shule au chuo
kwa hiyo umeconclude kwamba kote huko nilitamani? Naamini nilipenda toka moyoni, kama ni tofauti nipo tayari kuanza kujifunza kutotaman japo nashindwa kuvitenganisha, kupenda & kutamani.
 
kwa hiyo umeconclude kwamba kote huko nilitamani? Naamini nilipenda toka moyoni, kama ni tofauti nipo tayari kuanza kujifunza kutotaman japo nashindwa kuvitenganisha, kupenda & kutamani.

Huko kote uliotamani na uliokuwa unawaona ulikuwa unatamani kitu kimoja tuu kutoka kwao ambacho kama ungekipata na ukaridhika ungeenda further step ya kupenda
Jifunze now kudevelop sense of love though it is too tough kutenganisha kutoka kutamani na kupenda ila hebu jiulize ni nini umempendea yule unayemuona
Na je umemtamani alivyo ukafikia hata kumvua nguo au unapenda uende mbali zaidi kwenye kuwa na relatioship nae na kuform marriage
 
Na je swali kubwa hapo ulikuwa unapenda zaidi au kutamani maana yote yanawezekana <br />
Ila mkuu mkali std 5 ushaanza kuwaza kupenda <br />
Hapo ulikuwa unatamani mkuu na sio kupenda <br />
Na ulitaka kujenga yale mazoea then ndo upate kile unachotamani na may be kizae upendo
<br />
<br />
usikute hiyo std 5 alikua na miaka 18 mbona hujamhoji vizuri...si unajua watu wa longi....
 
afu mkuu mwenye thread acha kuwafagilia kwa kuwaita malaika hawa binadamu wa kike...wengi wao shnz type
 
This wife of mine, tulikuwa tukifahamiana tangu yeye akiwa shule ( sec) namimi ndo nimemaliza chuo niko mtaa, tulikuwa majirani na familia zetu zilikuwa marafiki sana, kwa kipindi chote hatujawahi kupendana wala kuwa karibu sana, in shot nilishawahi kuwa namchukia, i dont know why, it just happen. I traveled far for farther studies for 2yrs, when i come back and i saw her, ghafla nikaanza kumpenda and we end up wife and husband.
 
Swali; je kupenda/ukweli ni upi Ikiwa wote huwa tunasisitiza tunawapenda? Je ni ukaribu unaopelekea kile kinachoitwa kupenda?


kiukweli wengi huwa tunachanganya vitu hivi viwili; KUPENDA na KUTAMANI!! kupenda huwa kunajengwa na vitu vingi ikiwemo ukarimu, ukaribu, kujali, ,uelewa kwa mwenzi wako na kikubwa ni auaminifu!! vyote hivi huchukua muda kujidhihirisha!!!

Ukiona ghafla tu ume-develop a strong sexual desire kwa mtu fulani, that is not LOVE!! IT IS CALLED "LUST!!!!"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom