Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,708
- 40,912
Haileti taswira nzuri
NAOMBA KUSAHIHISHA siyo BWISHA ni BWISYA na pia tukio hiil limetokea UKARA KATA YA NYAMANGA.Mtu mmoja ameuawa asubuhi hii na wengine wawili kufanikiwa kutoroka baada ya kujaribu kumteka mgombea udiwani wa kata ya Bwisha Ukara kwa tiketi ya CHADEMA.
Inadaiwa watu hao wamezingirwa baada ya mgombea huyo kupiga ukunga na ndipo walipozingirwa na kushushiwa kipigo ambapo mmoja ameuawa huku wawili wakifanikiwa kutoroka.
Hilo ni tukio la kwanza la mauaji yanayohusishwa na mambo ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ambapo kunatabiriwa kuwepo kwa visa vingi vya vurugu kutokana na sintofahamu ambazo zimeanza kujitokeza.
Habari hii imethibitishwa na Katibu wa kanda ya Victoria- CHADEMA ndugu Zacharia T. Obad
Heshima yako mkuu.Mkuu ni kwamba unajifanya hujui kuwa ccm ndio wanaoratibu mambo haya ama? Kila mara nikikuambia toka awamu hii ya tano iingie madarakani tumeona chaguzi zilizoandanwa na ushenzi, ukatili, unyama na uhayawani wa wazi, ulikuwa unadhani natania? Na ukitaka kujua haya ni mambo ya kupanga kabisa, angalia mpaka mkurugenzi na polisi wanafanya haya haya matendo ya kihuni.
Ccm imeshachoka kushindana. Huko kwa waziri mkuu wagombea wa ACT wametekwa na kuachwa na vilema vya maisha. Huko ni kwa waziri mkuu, hao walio chini yake unategemea nini?
Shukran mkuuNAOMBA KUSAHIHISHA siyo BWISHA in BWISYA na pia tukio hill limetokea UKARA KATA YA NYAMANGA.
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Shukrani SanaNadhani sauti haitoshi ongeza sauti mkuu iweze kusikika vema
POinti ya msingi kabisa, mkishamuua ushahidi wa nani kamtuma unakuwa umekomaHii roho mbaya ya kutekana inaonekana kushamiri. Kama waliweza kumthibiti wasingemua ili tujue ni akina nani waliowatuma.....
Mkuu Kwenye UMEMEKuna sera bilioni kuonesha kushindwa kwa ccm,hata mngemjengea kila mtu nyumba ila kuburuzwa kama unafugwa sio hulka ya binadamu,hukumbuki Nyerer alisema bora mbwa maskini aliye huru kuliko aliyenenepeana na kupewa kila kitu ila kafugwa kwa kufungiwa ndani?
By the way umeme umefika vijijini lakini sasa wanakijiji waliounganisha unakuta hawazidi hata 20 kijiji kizima na hapo ni 27,000,unajua kwa nini? ccm mnafeli sana maana vipaombele vyenu sio vya wananchi.
Yes haya ndio mambo tunayotaka kusikia kutoka kwa wananchi, BAVICHA amkeni pigeni kisawa sawa hadi akili ziwakae sawa hongereni sana bado watoto wa Sryoo.Mtu mmoja ameuawa asubuhi hii na wengine wawili kufanikiwa kutoroka baada ya kujaribu kumteka mgombea udiwani wa kata ya Bwisha Ukara kwa tiketi ya CHADEMA.
Inadaiwa watu hao wamezingirwa baada ya mgombea huyo kupiga ukunga na ndipo walipozingirwa na kushushiwa kipigo ambapo mmoja ameuawa huku wawili wakifanikiwa kutoroka.
Hilo ni tukio la kwanza la mauaji yanayohusishwa na mambo ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ambapo kunatabiriwa kuwepo kwa visa vingi vya vurugu kutokana na sintofahamu ambazo zimeanza kujitokeza.
Habari hii imethibitishwa na Katibu wa kanda ya Victoria- CHADEMA ndugu Zacharia T. Obad
Yaani hili la kutaka asiuliwe ndo tujue waliomtuma, wakati inajulikana kabsa. Hao ndo wametoa fundisho nzr kwamba watu wamechoka na ushamba wanaofanya ccmHii roho mbaya ya kutekana inaonekana kushamiri. Kama waliweza kumthibiti wasingemua ili tujue ni akina nani waliowatuma.....
Kweli kamanda!Kuna sera bilioni kuonesha kushindwa kwa ccm,hata mngemjengea kila mtu nyumba ila kuburuzwa kama unafugwa sio hulka ya binadamu,hukumbuki Nyerer alisema bora mbwa maskini aliye huru kuliko aliyenenepeana na kupewa kila kitu ila kafugwa kwa kufungiwa ndani?
By the way umeme umefika vijijini lakini sasa wanakijiji waliounganisha unakuta hawazidi hata 20 kijiji kizima na hapo ni 27,000,unajua kwa nini? ccm mnafeli sana maana vipaombele vyenu sio vya wananchi.
Ni kisiwa ndani ya kisiwa cha Ukerewe.Dah! Ukara ni wapi huko ambako hawataki masihara?
Visiwani Ukerewe huko kwetu sokoni daahDah! Ukara ni wapi huko ambako hawataki masihara?
Tatizo ni ushabiki kwasasa wanachama wa Ccm wanaamini hata akikuua alhatqfanywa lolote, na wanaamini akifanya jambo la kuumiza wapinzani atapandishwa cheo ndio maana wanaofanya hawajifichi wapo hadharaniNdio mana nikasema kuwa kama ni kweli wao ndio wanaratibu hayo basi watakuwa ni wapumbavu wa kiwango Cha lami.
Yaani uende kujianika kabisa kurusha mawe kwenye msafara wa kiongozi wa upinzani huku ukiwa umevaa nguo za chama chako? Una akili kweli kichwani kweli hapo? Mi siamini Kama ni wajinga kiasi hiki mkuu.
Yaani wachome ofisi ya CHADEMA Arusha na tuhuma, lawama na zingo lote la ubaya kutupwa kwao kisha eti kabla ya watu hawajasahau kilicho tokea huku kila Kona wakisemwa vitaya eti wanakwenda kuchoma ofisi nyingine ya CHADEMA Mbeya? hata Kama akili huna kabisa lakini huwezi kufanya vitu vya namna hiyo, siamini kabisa kama ni wajinga wa kiwango hiki mkuu.