Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Salma, waziri mkuu na waziri husika hata kwenye vyombo vy ahabari hawajatokea , halafu mnataka mbowe aende, Tunawajua hamchelewi kubadilisha kibao kama kwa Akwilina. Risasi alipiga mwingine ambaye yupo hai kesi ni ya mbowe.
 
Simply "Basic"
Halafu tumekuwa na past experience ya hii kitu. Tumewahi pata haya majanga.
Na sababu kama hii..

"Boti ilikuwa na zaidi ya watu 400"

3 times the number it's capable of..
kitu pesa, Mapato yalipokuwa yanapatikana mengi walikuwa hawahoji na ingendelea hivyo kama ajali isingetokea,sasa hivi kuna watu wanalaumiwa .
 
Salma, waziri mkuu na waziri husika hata kwenye vyombo vy ahabari hawajatokea , halafu mnataka mbowe aende, Tunawajua hamchelewi kubadilisha kibao kama kwa Akwilina. Risasi alipiga mwingine ambaye yupo hai kesi ni ya mbowe.
Kusoma hujui hata picha kwenye TV hujaona!
 
Ukisema hivyo hata waziri hana sababu za kufanya hivyo kwa maana na yeye kuna mahali ame-delegate power, mwisho wa siku utakosa wa kumwajibisha!!
Swali kwa Mh Waziri. 1.
Je Alikitembelea mara ngapi chombo hicho HASA baada ya Mbunge ku raise hiyo issue bungeni?
2.Je aliomba PESA AKANYIMWA?

Na kama ALINYIMWA bado anaweza kusema niliomba nikanyimwa na hivo NAJIUZULU.maana watu hawawezi kufa nami nikiwa sina namna ya kuwahudumia.
By the way kujiuzulu ni ujasili mkubwa sana na UNALIPA!
 
kimsingi ni siku 3 maana leo ijumaa ndio siku ya kwanza na imeishakwisha, ....., hii ni maombolezo bob, kama ni kazi binafsi kafanye ila za kiserikali kwa uzoefu nadhani ofisi zinafungwa kasoro zile tu ambazo huwa hakuna kusimama kufanya kazi mfano poliso, vituo vya afya na vingine kama hivyo.
 
Na wezi wa kizungu cha wengine.
Huu sio ukumbi rasmi wa kuweka maanani hati miliki ya kazi za watu. Ningelikuwa naandika thesis ni ningeli acknowledge source, kumbe haya mambo huyaelewi. Mbona nasikia ulikuwa Denmark unasoma Masters ya nini sijui! after all ......
 
Mimi huwa nawahurumia sana watu wanaosafiri na vyombo vya majini bongo. Ikizama ukipona basi siku zako hazijafika.
Kujitetea kusema vifaa havipo vya uokozi usiku si utetezi sahihi. Miaka zaidi ya 50 baada ya uhuru bado tupo tupo tu.
Wapumzike kwa Amani waliofariki.
Nikivuka MAJI huwa navaa life jacket kabisa nakaa pembeni pia,uwezo wa kukaa majini dk 20 sina nishawaachia dunia yenu mapemaaa
 
umenikumbusha shairi la Late prof. Mwaikusa alipoandika "HOLLOW HEAD TORTURE ME WITH IGNORANCE " inatakiwa tufike kipindi tuanze kuona aibu, yaan tumeshindwa kuwaokoa watu kwa sababu ya giza..?
 
kama hakukuwa na dhoruba basi ni yale mambo ya kujaza watu na walivyo beba kupita kiasi.
poleni sana


Hiki kivuko kimesifiwa sana kwenye vipindi maalumu vya TBC last week, na yule nahodha alisema kwasasa hatarajii tatizo lolote kubwa kwani mifumo iliyowekwa ni ya kisasa kabisa, na kwamba kila kitu anakiona kwenye screen yake mapema kabisa kabla ya mtu mwingine yeyote, je hakuona gauge ikisema chombo hakiko kwenye uwiano sahihi?
 
Wangewasha hata mishumaa basi.
by the way, mita 100 toka nchi kavu siyo mbali kihivyo pale wangeweza hata kuita kivuko kingine kiende pale kikiwa kimebeba gari zenye taa za mwanga mkali au wangewahi kunyofoa hata zile taa za mwanga mkali unaosafiri mbali angani mida ya usiku kuashiria sehemu ilipo taa hiyo pana Club...
Just kwa kuunga unga tu tungefanikiwa kitu fulani
Karabai za wavuvi sawa na mchana wangepewa mafuta tu
 
Back
Top Bottom