Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 8,277
- 8,492
Ukisikia tukio la ujambazi POLICE na FFU watafika kwenye tukio baada ya waharifu kuwa wameondoka. Ukisikia mkutano wa Chama Cha Upinzani na hasa CHADEMA POLICE na FFU watafika sehemu ya mkutano masaa mawili kabla ya kuanza mkutano.
Sasa hii inatupatia picha gani, POLICE na FFU ni kwaajili ya kukandamiza demokrasia na kulinda maslahi ya kundi la watu wachache katika jamii - CCM na mafisadi? Ikiwa ndio hivyo POLICE na FFU hawawatendei haki waTZ.
Na kama ndio hali iko hivi Watanzania hawawezi tena kuwa na imani na Jeshi la POLICE kwa ujumla. Na kwa kuwa hawawezi kuwa na imani na Jeshi la POLICE natoa WITO KWA WATANZANIA KUWASUSA, KUWASUSIA NA KUTOWAPA USHIRIKIANO NA KUWAZOMEA POLICE MAHALI POPOTE WALIPO.
Wito
Sasa hii inatupatia picha gani, POLICE na FFU ni kwaajili ya kukandamiza demokrasia na kulinda maslahi ya kundi la watu wachache katika jamii - CCM na mafisadi? Ikiwa ndio hivyo POLICE na FFU hawawatendei haki waTZ.
Na kama ndio hali iko hivi Watanzania hawawezi tena kuwa na imani na Jeshi la POLICE kwa ujumla. Na kwa kuwa hawawezi kuwa na imani na Jeshi la POLICE natoa WITO KWA WATANZANIA KUWASUSA, KUWASUSIA NA KUTOWAPA USHIRIKIANO NA KUWAZOMEA POLICE MAHALI POPOTE WALIPO.
Wito