Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,601
- 4,086
Wakuu,
Hebu tuondoane presha kidogo.
Hivi hili zoezi ambalo huyu shangazi yangu huyu kalivalia njuga hili la ukaguzi wa vyeti hili litafika na kwenye taasisi binafsi au litaishia hukohuko serikalini? Maana'ke ni muhimu sana wadau kupata data mapema ili kujiandaa kisaikolojia.
Tusaidiane kwa wenye taarifa japo za chini ya kapeti.
Natanguliza shukrani wakuu.
Hebu tuondoane presha kidogo.
Hivi hili zoezi ambalo huyu shangazi yangu huyu kalivalia njuga hili la ukaguzi wa vyeti hili litafika na kwenye taasisi binafsi au litaishia hukohuko serikalini? Maana'ke ni muhimu sana wadau kupata data mapema ili kujiandaa kisaikolojia.
Tusaidiane kwa wenye taarifa japo za chini ya kapeti.
Natanguliza shukrani wakuu.