johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,566
Serikali imewasalisha bungeni muswada wa sheria wa kuyaondoa majukumu ya ukaguzi wa chakula na vipodozi kutoka TFDA na kuyapeleka TBS.
TFDA itabadilishwa jina na kubakiwa na jukumu la kusimamia ubora wa madawa
Mawasilisho ya muswada yamefanywa na naibu waziri wa fedha.
Source TBC 2
Maendeleo hayana vyama!
TFDA itabadilishwa jina na kubakiwa na jukumu la kusimamia ubora wa madawa
Mawasilisho ya muswada yamefanywa na naibu waziri wa fedha.
Source TBC 2
Maendeleo hayana vyama!