Wakuu habari za majukumu?
Leo nimekutana na kali ya mwaka katika duka la Shivacom lilopo Samora Avenue karibu na makutano ya Morogoro road na Samora avenue, wanaopafahamu ni karibu na JJ Restaurant.
Nilikwenda kudeposit hela kwenye MPESA yangu, dada wa kihindi akaniambia lete hiyo handset yako. Nikamuuliza ya nini? Akasema nataka niiangalie kama ya kwako NIKAMWAMBIA hufahamu kuwa hupaswi kukagua simu yangu? Nikamuuliza huoni kuwa unaingilia privacy zangu? Nikamwambia Ok nawasiliana na Vodafone kujua hiyo policy yao kwa undani AKASEMA ni si policy ya vodafone bali ya Shivacom.
Baada ya kumkatalia akaniambia nenda sehemu nyingine.
Nimeandika haya kwa kifupi ili jamii ijue public ijue kuwa ina haki kwa mujibu wa sheria kutoingiliwa haki ya kuwa na usiri kwa mambo binafsi
Aidha nawaomba waandishi wa habari walifanyie utafiti hili ili isaidie kulinda haki na utu wa mteja. Iliniuma maana nilijiuliza watanzania wenzangu wasiojua haki zao za kisheria si wanadhalilishwa na hao wahindi?
Atakayehitaji ushirikiano wangu naomba ani PM
Leo nimekutana na kali ya mwaka katika duka la Shivacom lilopo Samora Avenue karibu na makutano ya Morogoro road na Samora avenue, wanaopafahamu ni karibu na JJ Restaurant.
Nilikwenda kudeposit hela kwenye MPESA yangu, dada wa kihindi akaniambia lete hiyo handset yako. Nikamuuliza ya nini? Akasema nataka niiangalie kama ya kwako NIKAMWAMBIA hufahamu kuwa hupaswi kukagua simu yangu? Nikamuuliza huoni kuwa unaingilia privacy zangu? Nikamwambia Ok nawasiliana na Vodafone kujua hiyo policy yao kwa undani AKASEMA ni si policy ya vodafone bali ya Shivacom.
Baada ya kumkatalia akaniambia nenda sehemu nyingine.
Nimeandika haya kwa kifupi ili jamii ijue public ijue kuwa ina haki kwa mujibu wa sheria kutoingiliwa haki ya kuwa na usiri kwa mambo binafsi
Aidha nawaomba waandishi wa habari walifanyie utafiti hili ili isaidie kulinda haki na utu wa mteja. Iliniuma maana nilijiuliza watanzania wenzangu wasiojua haki zao za kisheria si wanadhalilishwa na hao wahindi?
Atakayehitaji ushirikiano wangu naomba ani PM