Ukaguzi wa simu unaofanywa na shivacom utakapo huduma ya mpesa

What i know ni kwamba kuna kitu kinaitwa direct deposit yaani wewe uliyeingia kwenye duka la shivacom unataka kumtumia nduguyo pesa huruhusiwi kutoa namba ya nduguyo akatumiwa pesa moja kwa moja na wakala. Unachopaswa kufanya ni ku deposit kwenye simu yako wewe uliyefika pale kwa wakala halafu umtumie huyo ndugu yako. &lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Ukaguzi si kuangalia nini kilichopo ktk simu, yako unapotuma pesa na kutoa pesa meseji itaingia kwenye simu yako wakala anachofanya kujiridhisha ni kukuomba simu yako ili aone kweli ile sms imeingia kwako? &lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Kama ulitoa namba ya mtu wa tatu yule wakala ata reverse ile pesa yote irudi kwako na kukushauri u deposit kwako kwanza. ukienda kwa wakala akakubali direct deposit voda wakigundua till inafungiwa. Fraud ni nyingi sana zinazotokana na direct deposit mteja anaweza piga simu voda akasema kaibiwa na wakala. &lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Kwenye kutoa pesa kuna wizi mkubwa unendelea. so hizo ni mbinu za kujiridhisha kwamba mteja ni yeye aliyepo mbele yako na si mtu nwingine wa tatu, hiki ni kidogo ninachokifahamu.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
All in all hii sio njia salama ya kutunza pesa zako, maana kuna siku utajiuta umelala tajiri kisha kesho yake unaamka ukiwa mkuu wa mafukara
 
Back
Top Bottom