"Ukaguzi kwa memba wageni hapa mjengoni"

Mwanyasi

JF-Expert Member
Nov 16, 2010
7,955
7,101
Last edited by a moderator:
Yani umefanya jambo la maana sana Mwanyasi kutaka wanaume nao wakaguliwe, mana walikuwa wanaingia ingia tu humu.
 
Last edited by a moderator:
manyasi ukaguzi kwa wanaume unahusu kipengele kipi haswa...Lol!
 
Last edited by a moderator:
Kuna ma bi dada watatu walikuwa wanafanya hiyo ya kukagua me. Ni kama walianza kuzidiana kete. Pengine wakipita hapa watajitambulisha. Mi nina bifu nao as walianza kukagua hata baba zao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom