Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,101
Kuna mwongozo ulioasisiwa na babu Asprin kuwa memba wapya hususan 'ke' wanakaguliwa na babu kwa usalama wa wana JF! mwongozo huo umefahamika kwa memba wote wa cc na mmu kazi ambayo kwasasa inafanyika chini ya Filipo .
swali ni je memba wa kiume wanakaguliwa na nani? kama hayupo tuchague?
cc: Chocs Lady doctor Arushaone Baba V Madame B Blaki Womani KOKUTONA watu8 YNNAH kiwatengu Mentor Ladymasa Mamndenyi Passion Lady Smile na wana jf wote
swali ni je memba wa kiume wanakaguliwa na nani? kama hayupo tuchague?
cc: Chocs Lady doctor Arushaone Baba V Madame B Blaki Womani KOKUTONA watu8 YNNAH kiwatengu Mentor Ladymasa Mamndenyi Passion Lady Smile na wana jf wote
Last edited by a moderator: