eliesikia JF-Expert Member Oct 29, 2010 787 755 Jun 30, 2019 #1 Hivi ule ukaguzi wakapewa kamati waufanyie kazi wamekwama wapi? Wanashindwa kupika conclusion kabisa? Au wanamuogopa atafumuka na facts iwe kero tupu?
Hivi ule ukaguzi wakapewa kamati waufanyie kazi wamekwama wapi? Wanashindwa kupika conclusion kabisa? Au wanamuogopa atafumuka na facts iwe kero tupu?
K koro-boy JF-Expert Member Sep 29, 2017 1,324 1,075 Jul 26, 2019 #3 Hakuna cha maana pale kungekuwa na kitu Supika angekuwa ameshatangazo jimbo la CAG lipo wazi siku nyingi and CAG mwingine ameshaanza kazi.
Hakuna cha maana pale kungekuwa na kitu Supika angekuwa ameshatangazo jimbo la CAG lipo wazi siku nyingi and CAG mwingine ameshaanza kazi.