Ukabila TFF: Jamal Malinzi jibu/fafanua hili kabla sumu haijaenea

Uhaya huo mumeuona baada ya kagera sugar kurudishiwa point 3 zao?hivi mungekuwa nyie Simba ndio mumenyang'anywa 3 mungekubali kweli?!

Mungewafunga Kagera sugar uhaya musingeuona!!
TFF ilitoa,TFF imetwaa
 
Rais Malinzi muhaya
Katibu mpya wa TFF ni Mhaya,
Mkurugenzi wa sheria na utawala ni Mhaya,
Mshauri wa masuala ya kiufundi ni Mhaya,
Mwenyekiti mpya wa kamati ya maadili ni Mhaya,
Mwenyekiti mpya wa kamati ya Uchaguzi ni Mhaya

Huu ni ukabila na kubinafsisha chama kikanda

Jamali Malinzi tunajua ulikimbia JF baada ya kukupa hoja hii,tunaomba utujibu kokote,kwa nini mnaleta ukabila TFF?
Thibitisha kwa kutaja majina. Wacha kukariri uvumi wa mitaani.
 
Rais Malinzi muhaya
Katibu mpya wa TFF ni Mhaya,
Mkurugenzi wa sheria na utawala ni Mhaya,
Mshauri wa masuala ya kiufundi ni Mhaya,
Mwenyekiti mpya wa kamati ya maadili ni Mhaya,
Mwenyekiti mpya wa kamati ya Uchaguzi ni Mhaya

Huu ni ukabila na kubinafsisha chama kikanda

Jamali Malinzi tunajua ulikimbia JF baada ya kukupa hoja hii,tunaomba utujibu kokote,kwa nini mnaleta ukabila TFF?
Hata timu za Taifa jingine zikija Tanzania zinafikia hotel ya mhaya (D Mage Hotel) kinondoni

Jamal Malinzi
 
Tukianza na Malinzi, kwani alichaguliwa na Wahaya kuwa hapo!?
pia tukipata hayo majibu tuelezeni ni timu gani kutoka kwenye nchi zilizo nzfzsi 20 za juu katika soka ziliwahi kuzawadiwa points tatu timu shindwa badala ya kuiadhibu timu iliokosea kwa kumchezesha mchezaji mwenye kadi tatu za njano.
 
Ni kweli mkuu uyanga na usimba ni tatizo kwenye soka letu, lakini katikati ya shida hiyo ukiongezea ukabila tatizo linakuwa kubwa zaidi. jamaa wajifunze kufanya kazi na makabila mengine
Hamuwezi kuwaondoa? Kama hamuwezi tulia mnyolewe. Acha kelele.
 
Polisi Dar walikataliwa tuhuma zao kuhusu Lufunga kuwa na kadi nyekundu..mkabebwa mji ukawa kimya...vigezo vile vile vilivyowabeba Simba kwa Lufunga ndio vinapigiwa kelele (rufaa ilichelewa na laki tatu hawakuwa nayo)..Tanzania haina ukabila Raisi Magufuli angemteuwa Mh Majaliwa?

Acha kupotosha, Lufunga hakuwa na kadi 3 ktk msimu mmoja bali moja ya msimu uliopita, na kwamba kwa mujibu wa kanuni hizi msimu ukiisha mnaanza upya kadi zote zinafutika
 
Well done Jamal Malinzi...

Katibu mpya wa TFF ni Mhaya,
Mkurugenzi wa sheria na utawala ni Mhaya,
Mshauri wa masuala ya kiufundi ni Mhaya,
Mwenyekiti mpya wa kamati ya maadili ni Mhaya,
Mwenyekiti mpya wa kamati ya Uchaguzi ni Mhaya
na wewe Big Boss wetu ni Mhaya...

Asante sana. World cup here we go..2018.

Source: facebook page ya.Edo Kumwembe
 

Attachments

  • WAHAYA THE MOST INTELLIGENT PEOPLE IN AFRICA.docx
    17.1 KB · Views: 107
Hamuwezi kuwaondoa? Kama hamuwezi tulia mnyolewe. Acha kelele.
Tutawaondoa kwa hoja, tukishindwa tutamuondoa malinzi mwenyewe na wale aliowaweka kama yeye alivyomfagia Angetile Osiah
Hamuwezi kuwaondoa? Kama hamuwezi tulia mnyolewe. Acha kelele.
Tutawaondoa kwa hoja, tukishindwa tutamuondoa malinzi mwenyewe na wale aliowaweka kama yeye alivyomfagia Angetile Osiya
 
Uhaya huo mumeuona baada ya kagera sugar kurudishiwa point 3 zao?hivi mungekuwa nyie Simba ndio mumenyang'anywa 3 mungekubali kweli?!

Mungewafunga Kagera sugar uhaya musingeuona!!
TFF ilitoa,TFF imetwaa
Acheni ushabiki, huu Uzi ni wa mwaka 2013, umekaa humu karibu miaka minne. Mgogoro wa simba na kagera ni wa mwaka huu sasa sijui unaingiaje humu. Tatzo la watanzania wengi hatupendi kua wakweli tunapenda kusukumwa na mapenzi au ushabiki
 
Amejaza wahaya, hata dili la nyasi bandia lilipotokea akaweka Bukoba!!!!! Kiwanja cha tenisi pia nasikia pia kiko Bukoba.

Yaani kiongozi wa kitaifa lkn kinachotangulia ktk akili yake ni Bukoba kwanza!
Walibezwa sana Na wanaJF kwamba hawajengi kwao
Sasa ndio tutakoma.
Bukoba oyeeeeeeeee
 
Acheni ushabiki, huu Uzi ni wa mwaka 2013, umekaa humu karibu miaka minne. Mgogoro wa simba na kagera ni wa mwaka huu sasa sijui unaingiaje humu. Tatzo la watanzania wengi hatupendi kua wakweli tunapenda kusukumwa na mapenzi au ushabiki
Huo uzi umeunganishwa tu...kuna uzi wa juzijuzi tu hapa sema moods wameuunganisha na wa zamani kwasababu maudhui yanafanana!!Elewa basi
 
Wewe kama si mkabila ulijuwa je acha huwo ujinga kikubwa kazi nyie ndio wale wale hata kwenye siasa ukabila nyambafu tunaongea ukabila karne hii kimya shiiiiiiih
Hacha majibu mepesi katika hoja au shutuma nzito kama hizi.Sehemu yyote iliyojaa watu wa kabila moja ni tatizo yatupasa kufanya uchunguzi katika hili na kulaani mambo au tabia kma hizi.
 
Back
Top Bottom