jerrytz
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 5,960
- 4,209
aisee nimecheka kwa sauti.
Hapana English maana wao hata kama hawajasoma wanaongea
Hapana English maana wao hata kama hawajasoma wanaongea
Naomba kabila lako!Na kwa kawaida hawa jamaa ni wakabila mno
Yaani wahaya kila sehemu wapo ukienda mtaa wa sokota wapo pale temeke sudan wapo pale kigamboni mageti7 wapo na mjini kabisa wapo ukienda jangwani wapoRais Malinzi muhaya
Katibu mpya wa TFF ni Mhaya,
Mkurugenzi wa sheria na utawala ni Mhaya,
Mshauri wa masuala ya kiufundi ni Mhaya,
Mwenyekiti mpya wa kamati ya maadili ni Mhaya,
Mwenyekiti mpya wa kamati ya Uchaguzi ni Mhaya
Huu ni ukabila na kubinafsisha chama kikanda
Jamali Malinzi tunajua ulikimbia JF baada ya kukupa hoja hii,tunaomba utujibu kokote,kwa nini mnaleta ukabila TFF?
Fikiria laliga bila Baka na Madrid!siasa za Uyanga na Usimba ndizo zinazodumaza mpira Tanzania. period!
hizi timu mbili zikikufwa (na ninaomba sana zikufishwe na zioze kabisa!) hakutakuwa na wa kutuchezea Sub-Sahara Africa.
Si tunasemaga sku zote kwamba unaanzia kwa vijana, na kweli tunaona timu yetu inavyofanya vizuri, kama tukishirikiana wote kwenye maombi inaweza kurudi na kikombe.Malinzi kama Rais wa yanga wakati huo alishindwa kuwafunga simba sc. Sasa ndio anaona ni wakati wake kuiadhibu Simba SC. Hata huyo Mwesiga sijui katokea wapi kama si Yanga. Mpira Tanzania msahau kama Malinzi pamoja na Mwesiga kama watendaji wa juu wa TFF. Karibu wanamaliza wakati wao hakuna walichofanya kwa mpira wa nchi hii kama ambayo walivyokuwa Yanga hawakufanya cha maana sana ni sababu kila kukicha
kwamba mmeshinda,matokeo yakabadilishwa.SHAME ON YOU,MIJITU MIZIMA IMEKULA BAO 2-1 ETI LEO MNALALAMIKIA POINT ZA MEZANI.hivi mnatokwa povu kabisa na maujinga ya manaraMalinzi kama Rais wa yanga wakati huo alishindwa kuwafunga simba sc. Sasa ndio anaona ni wakati wake kuiadhibu Simba SC. Hata huyo Mwesiga sijui katokea wapi kama si Yanga. Mpira Tanzania msahau kama Malinzi pamoja na Mwesiga kama watendaji wa juu wa TFF. Karibu wanamaliza wakati wao hakuna walichofanya kwa mpira wa nchi hii kama ambayo walivyokuwa Yanga hawakufanya cha maana sana ni sababu kila kukicha
KUWEKA KUMBUKUMBU SAWA TU,NI KUA MLIFUNGWA 2-1 NA KAGERA so punguzeni ujinga mwingi nyinyi mnaopelekeshwa na madarasa la7 yalojaa hapo msimbaziRais Malinzi muhaya
Katibu mpya wa TFF ni Mhaya,
Mkurugenzi wa sheria na utawala ni Mhaya,
Mshauri wa masuala ya kiufundi ni Mhaya,
Mwenyekiti mpya wa kamati ya maadili ni Mhaya,
Mwenyekiti mpya wa kamati ya Uchaguzi ni Mhaya
Huu ni ukabila na kubinafsisha chama kikanda
Jamali Malinzi tunajua ulikimbia JF baada ya kukupa hoja hii,tunaomba utujibu kokote,kwa nini mnaleta ukabila TFF?
Kwahiyo mkuu unashauri kwenye application za kazi pale TFF waweke na kipengele cha ukabila ili wawatambue wahaya mapema wasiwape kazi tena????Ni kweli mkuu uyanga na usimba ni tatizo kwenye soka letu, lakini katikati ya shida hiyo ukiongezea ukabila tatizo linakuwa kubwa zaidi. jamaa wajifunze kufanya kazi na makabila mengine
mugambireeeRais Malinzi muhaya
Katibu mpya wa TFF ni Mhaya,
Mkurugenzi wa sheria na utawala ni Mhaya,
Mshauri wa masuala ya kiufundi ni Mhaya,
Mwenyekiti mpya wa kamati ya maadili ni Mhaya,
Mwenyekiti mpya wa kamati ya Uchaguzi ni Mhaya
Huu ni ukabila na kubinafsisha chama kikanda
Jamali Malinzi tunajua ulikimbia JF baada ya kukupa hoja hii,tunaomba utujibu kokote,kwa nini mnaleta ukabila TFF?
Yaani wahaya kila sehemu wapo ukienda mtaa wa sokota wapo pale temeke sudan wapo pale kigamboni mageti7 wapo na mjini kabisa wapo ukienda jangwani wapo