UK yaichambua Tanzania, yaishangaa na kuibeza, tunaongoza kuombaomba kama nchi zilizokuwa vitani

Majibu -mkato ndiyo tatizo la Watanzania wengine kama wewe.Ndio maana kujivua umaskini itabakia ndoto.
Ni vizuri kukubali kukosolewa.Wewe unaona Tanzania ni nchi ya kujivunia kwa umaskini tulio nao?
Grow up kifikra bwana.
Ukweli ndio huo, au utuletee ukweli wako tofauti na huo.


Kwa hiyo wewe majibu yako marefu? Basi yatakusaidia kukuondolea umasikini.
 
katika mazingira ya leo hasa hapa tanzania ''AID is not compesation'' misaada mingi haiwanufaishi watanznaia wa kawaida isipokuwa inawanufaisha wakubwa serilaklini....wakati mwalimu anasema/kutoa kauli hiyo kwa miaka ile alikuwa sawa kabisa lakini sio leo....hivi na wewe hapo ulipo unaamini kwa leo hii aid is compesation?

Edson,

Argument yako ni nzuri. Tunaweza kujadili usimamizi wa matumizi ya aid na mapungufu yake. Jambo ambalo halibadiliki ni kuwa aid bado ni compesation. Waingereza wametutawala miaka isiyopungua 35. Walichovuna na gharama zitokanazo na kutawaliwa ni kubwa kuliko aid wanayotupa. Tena usisahau kuwa hata hiyo aid yenyewe kwa muda mrefu kabla ya kuanza kutumia utaratibu wa GBS sehemu kubwa imekuwa ikirudi kwao kwa njia ya 'over head costs'. Gharama ya kutawaliwa haikuwa ndogo kiasi hicho na wangereza hawakuacha miundombinu wala ktu cha maana nchi hii, inshort hawakuwekeza ikilinganishwa na walivyofanya Kenya au Zimbabwe. Hapa waliondoka na kuacha wasomi 11 tu kwa maana ya graduates. Waingereza hawana moral authority ya kuzungumzia hili. Na ndio maana hawaachi kutoa hata walalamike vipi maana nafsi zai zinawasuta. Na kwa taarifa yako wanafaidika na kutoa aid hii.


Nakubaliana na wewe kuhusu mjadala wa matumizi mazuri ya misaada nchini, suala la uwazi na uwajibikaji wa fedha hizo ni muhimu.
 
Kama serikali yetu inaandikwa hivi na inaona ni kawaida tuu, na sisi wananchi tunasoma yanayotokea kisha nasi tunakenua tuu na kuwapigia makofi hawa tunaoita viongozi basi tatizo ni kubwa sana kuliko tunavyodhania.
Kuna nchi hali kama hii ikijitokeza mawazo ya kihaini yanaingia kwenye vichwa vya watu.
 
Hivi watu wengine bana wee upo kuilinda Serikali humu Jamvini kwa lolote lile? hivi unafahamu kwamba yanayosemwa ni ya kweli ndiyo maana Serikali imekaa kimya. Ingekuwa ni uzushi ungemsikia Salva wa Ikulu angepiga kelele kaa nini. Binafsi nikiwa nje ya nchi huwa naogopa kujitambulisha kama Mtanzania kwasababu moja kwa moja nitachukuliwa kama nina uwezo wa kufikiri wa aina za akina Kkwete.
...uko sawa mkuu,hapo kwenye kujitambulisha,..."wewe jitambulshe kuwa ni MTANGANYIKA coz hakuna nchi duniani inatwa tanzania-bara...
 
Edson,

Argument yako ni nzuri. Tunaweza kujadili usimamizi wa matumizi ya aid na mapungufu yake. Jambo ambalo halibadiliki ni kuwa aid bado ni compesation. Waingereza wametutawala miaka isiyopungua 35. Walichovuna na gharama zitokanazo na kutawaliwa ni kubwa kuliko aid wanayotupa. Tena usisahau kuwa hata hiyo aid yenyewe kwa muda mrefu kabla ya kuanza kutumia utaratibu wa GBS sehemu kubwa imekuwa ikirudi kwao kwa njia ya 'over head costs'. Gharama ya kutawaliwa haikuwa ndogo kiasi hicho na wangereza hawakuacha miundombinu wala ktu cha maana nchi hii, inshort hawakuwekeza ikilinganishwa na walivyofanya Kenya au Zimbabwe. Hapa waliondoka na kuacha wasomi 11 tu kwa maana ya graduates. Waingereza hawana moral authority ya kuzungumzia hili. Na ndio maana hawaachi kutoa hata walalamike vipi maana nafsi zai zinawasuta. Na kwa taarifa yako wanafaidika na kutoa aid hii.


Nakubaliana na wewe kuhusu mjadala wa matumizi mazuri ya misaada nchini, suala la uwazi na uwajibikaji wa fedha hizo ni muhimu.

Well said,

Pia tukirudi kwenye swali lililoulizwa kwenye hiyo article 'Is UK aid fueling corruption in Tanzania' the answer is capital 'YES' kumbukumbu ya karibu kabisa ni wao (UK) kutuuzia RADA bomu kwa bei mara-mbili kwa kutumia hongo ya kufa mtu. Hapo bado kuna deals nyingine nyingi za aina hiyo ambazo hatujawahi kuzishtukia etc, etc...

Kwa kifupi Tanzania is not an exception, hakuna nchi yeyote ya Africa ambayo imewahi kuendelea kutokana na misaada ya kimaendeleo (so-called developmental aid programes) kutoka Ulaya. Kitabu cha mwanadada Dembisa Moyo kiitwacho 'Dead Aid' kinaelezea hayo mambo kwa ufasaha zaidi.

r348955_1596826.jpg

Dembisa Moyo author of the book 'Dead Aid'.

Dambisa Moyo is a Zambian-born economist who says aid is killing Africa.


In her new book, Dead Aid, she argues that official aid is easy money that fosters corruption and distorts economies, creating a culture of dependency and economic laziness.


Moyo is particularly dismissive of the ‘celebrity aid' model popularised by international stars such as Bob Geldof and Bono and says many aid organisations and NGOs are more interested in perpetuating poverty in order to justify their own existence.


Controversially, she advocates turning off the aid taps within five years and claims this will result in more Africans being pulled out of poverty.


Moyo, who has a Doctorate in Economics from Oxford University, and a Masters from Harvard's Kennedy School of Government, has been a consultant to the World Bank and recently worked for Goldman Sachs in London....
Source:
UK - Is Aid Killing Africa? - Foreign Correspondent - ABC
 
Edson,

Argument yako ni nzuri. Tunaweza kujadili usimamizi wa matumizi ya aid na mapungufu yake. Jambo ambalo halibadiliki ni kuwa aid bado ni compesation. Waingereza wametutawala miaka isiyopungua 35. Walichovuna na gharama zitokanazo na kutawaliwa ni kubwa kuliko aid wanayotupa. Tena usisahau kuwa hata hiyo aid yenyewe kwa muda mrefu kabla ya kuanza kutumia utaratibu wa GBS sehemu kubwa imekuwa ikirudi kwao kwa njia ya 'over head costs'. Gharama ya kutawaliwa haikuwa ndogo kiasi hicho na wangereza hawakuacha miundombinu wala ktu cha maana nchi hii, inshort hawakuwekeza ikilinganishwa na walivyofanya Kenya au Zimbabwe. Hapa waliondoka na kuacha wasomi 11 tu kwa maana ya graduates. Waingereza hawana moral authority ya kuzungumzia hili. Na ndio maana hawaachi kutoa hata walalamike vipi maana nafsi zai zinawasuta. Na kwa taarifa yako wanafaidika na kutoa aid hii.


Nakubaliana na wewe kuhusu mjadala wa matumizi mazuri ya misaada nchini, suala la uwazi na uwajibikaji wa fedha hizo ni muhimu.
Mkuu, issue hapa ni Kwanini unasaidiwa wakati una rasilimali za kutosha kujiendesha kwa 90%.........omba 10% basi labda utaeleweka.
Lakini pia hoja ya kwamba aid is compensation kutoka kwa waingereza, sio kweli, kumbuka tunasaidiwa, na sio kwamba tunalipwa.
Tunasaidiwa kwa masharti ya kipuuzi, ili waendelee kutusaidia na sisi tuendelee kuomba.

Kumbuka hizi fedha za misaada ndo zinaliwa na wajanja nchi hii, na hazitusaidii chochote.
 
Ta muganyizi

Nashauri pia utafute andiko la Mwalimu Nyerere inayoitwa "Argue Dont Shout" aliyoitoa julai 1969. Katika andiko hilo, Mwalimu anezungumzia suala la misaada. Itafaa kusoma andiko hilo il uweze kuwa na 'balance argument'. Nanukuu aya moja tu hapa chini:

"....For self relience means only that self knowledge and self confidence. It does not mean isolationism; nor does it mean that we cannot accept help and cooperation from others if this can be obtained without humiliating conditions or outside control over things which are of exclusive concern to us. So called aid is often justified compesation. In the world which we live in,where the prices of primary products continuously fall-to the benefit of the rich- and those of manufactures rise-again to the benefit of the rich and detriment of the poor- "aid" is compesation. in a just world there would have been a built-in machinery which automatically compensates the poor countries against the inevitable disadvantages to them of the international trade. In the absence of auch automatic compesation, the little so-called "aid" which get is really out right, and its not enough! Not to take it on the grounds that it conflict with self reliance is absurd!"

Tafakari

Well said by Mwalimu as he knew the impact of relying on cheap aids without reservation. Despite that AIDS makes the recepient develop grasshoper spirit yet they retard the sense of responsibilities and purpose and someone ends being extravagant, curruption and grutton. That's what we are witnessing in Tanzania. Politicians are scrumbbling for posh houses, cars and expensive life. In as much that their incomes are not adequate to get all these riches they lie, manipulate, steal, squander, embezzle and the likes so as to lead such an expensive life more than their benefactors (the west). Things are are worse when even the president has succumbed to that situation without reservation, self negation and regret. The incumbent president has proved several times through his remarks that he fought tool and nail to become the ruler so as to amass health but not serve and save the people from their pernicious daily problems. What a president who doesn't know why Tanzania is poor? What a president whose kith and kin have and still amassing health while everyone sees they have never invested anywhere nor acquired loan such that they are now scooping profit but they have now turned millionaires overnight?

All this is done because people led by the smiling president have lost a sense God's fear. They do no think that God acts through the people. Tanzanians are lamenting, crying foul and regreting as to why they were born Tanzanians. Do you expect blessings from this situation. No. not at all. It's a challenge for all Tanzanians of good will to work hard and pray hard so as to bring this country back on its feet. Let's pray and join hands with leaders no matter of which party that have patriotism and love for the downtrodden. To be honest Dr.Slaa is one of them. We need to pray hard so as God strenghtenes him, inspires him more and ask God to bless us with more Slaas who are not showing up for fear of the incumbent government and ruling party who are ready to torture, punish, kill, maime whoever is alleged to be against them
 
Baba hajui kwanini familia yake ni maskini! ....... inabidi watoto tuamke tumchape baba!
 
Wadau habari iliyochapishwa wiki tatu zilizopita kwenye media moja inaonesha UK ikiishangaa Tanzania na kusema kuwa yenyewe ni ya 3 Africa kwa uzalishaji wa dhahabu lakini inaombaomba kinoma kama iraq........hebu Soma kipengele hiki kisha ufuate link hiyo utashangaa mwenyewe. Yaibeza kusherekea miaka 50 ya Uhuru wakati tunafanya ujinga tu.

Tanzania is the third largest gold producer in Africa and is rich in mineral resources. Despite its mineral wealth, it is the largest recipient of development aid from Britain and has received in excess of US$2.89 billion in aid (from all donors) in its 50 years of independence. It is Africas top and, the worlds third leading recipient of aid after war-torn Iraq. It depends annually on foreign aid by 45 per cent, receiving US$453 million for its 2011/12 aid budget under the umbrella of General Budget Support (GBS). Despite these massive amounts of foreign aid, there has been no significant decrease in poverty over the last 20 years and the country is lagging behind on key development goals for safe water, income and health despite considerable economic growth. The 2007 Tanzania Household Budget Survey showed very little change in income poverty since 1991. Overall, in the 16 year period between 1991 and 2007, poverty fell by about five per cent. But most of this change can be explained by progress in Dar es Salaam. In rural areas, and other urban areas, the decline in poverty is too small to give confidence that poverty has actually fallen (Policy Forum-Tanzania). High economic growth in Tanzania has not been pro-poor.

Ili kuona jinsi wazungu hawa walivyotudadavua.....bonyeza hapa usione uvivu Tanzania  Is UK aid fuelling corruption? - In2EastAfrica - East African news, Headlines, Business, Tourism, Sports, Health, Entertainment, Education
Kwa hali hii inabidi tuanze kuwa na intervierw ya wabunge itakayofanyika kama mdahalo
Na hii iwe ni katika hatua ya mcujo kuanzia jimboni katika mchakato wa kupata mgombea rasmi wa jimbo husika.
Wagombea wote wawe wanaulizwa maswali kadhaa ili kuweza kujua ni kiasi gani mgombea ana uchungu na nchi yetu ikiwa ni pamoja na raslimali za nchi yetu zinazoporwa mchana kweupe.
Mgombea atakayeonyesha kiwango cha juu kwa uzalendo basi ateuliwe kugombea kupitia chama chetu cha cdm,ili tuendeleze hii vita tuliyonayo dhidi ya ufisadi nchini..
 
Kama kila kitu kikisemwa na Uingereza wewe unakifuata na kukikubali basi kubaliana na mpango wa Waziri Mkuu wa Uingereza James Cameroon..

mambo ya baniani mbaya kiatu chake dawa hayo. Tuachane na kuomba omba kama wote hatuna mikono na miguu ya kujishughulisha. Tuliona ni sifa kujikomba komba kwa wenzetu hawa. sasa hivi nao ni choka mbaya na hizi ni dalili za kutuambia bye bye tumewachoka
 
kwa hawa viongozi wetu tulionao,tutazid kupewa misaada na bado tutakuwa wa mwisho kadri siku zinavyosonga mbele,maana hela nyingi za misaada zinaishia mifukoni mwa wachache
 
Hivi watu wengine bana wee upo kuilinda Serikali humu Jamvini kwa lolote lile? hivi unafahamu kwamba yanayosemwa ni ya kweli ndiyo maana Serikali imekaa kimya. Ingekuwa ni uzushi ungemsikia Salva wa Ikulu angepiga kelele kaa nini. Binafsi nikiwa nje ya nchi huwa naogopa kujitambulisha kama Mtanzania kwasababu moja kwa moja nitachukuliwa kama nina uwezo wa kufikiri wa aina za akina Kkwete.


Kwa uandishi wa Ritz wa kamstari kamoja moja kweli unafikiri yupo hapa kutetea serikali?? Hawa akina Ritz, Ngongo, FF ni wafaidikaji wa second generation ya mafisadi. Nina maana kwamba ni watoto wa mafisadi na wapo hapa kutetea wazazi wao!!
 
Hata kam kelele za mbu hazimzuii mtu kulala, nina imani president aayaona haya na roho yake haijatulia....mie nakwambia...lazima karoho kanauma na anaona aibu........ama wasaidizi wake hawampi habari hizi ili aone yuko correct..........tutatafuta njia ya kumfikishia..........anayejua email yake ailete tuwe tunampa alert
 
Hata kam kelele za mbu hazimzuii mtu kulala, nina imani president aayaona haya na roho yake haijatulia....mie nakwambia...lazima karoho kanauma na anaona aibu........ama wasaidizi wake hawampi habari hizi ili aone yuko correct..........tutatafuta njia ya kumfikishia..........anayejua email yake ailete tuwe tunampa alert


mbu akija karibu na sikio lako akawa anaruka pale juu ....hakika utaamka huwezi kulala..hata siku moja....utamtimua..raisi wetu ni kiziwi ndio maana mbu wanafika hadi sikion....
 
Hali hii inatisha. Wizi wa 20% kwa kila shilingi iingiayo Hazina inatisha! Tunahitaji maelezo kuhusu hili. Star TV, ITV na magazeti yasiyo ya kifisadi anzisheni mjadala huu tupate majibu. Wahukumiwe wote walioiba hela zetu kwa manufaa yao. Ndio maana utasikia moja akikutwa na fedha kaweka nchi za nje, anatoa majibu ya kejeli na kuita mabilioni ya fedha hizo kuwa ni vjisenti. Kwa maana kuwa wako wenye senti miongoni mwao! Tuwatafute tuwahukumu. Miaka hamsini ijayo kuanzia 2012 iwe ya kurejesha kile kilichoibiwa. Mafisadi kaeni chonjo saa mbaya yaja.
 
mtu mzima unasimama bema ya watu unawaambia..''ndugu zangu lazima nitoke niende nje kwa wenzangu kuhemea..siwezi kukaa pale ikulu nikiangalia uzuri wa mke wangu Salma....lazima nikatafute wawekezaji na huko ndiko tunweza kuendelea jamani..si mmeona nimeenda marekani na kuwa Raisi wa kwanza wa africa kukutana na Obama..hii ni heshima kubwa sana kwa nchi yetu''

p.mbafu kabisa..yaani akili zote zimeegemea kuomba na si kutafuta njia mbadala za kujikwamua kwa kuwa nchi ina kila kitu cha thamani...huwezi kuacha kuhongwa suti kama kauli rahisi kama hizi unazitoa kwa wananchi wewe ukiwa kama mkuu wa nchi.....hii ni aibu sana na ujinga wa hali ya juu kabisa.....

kuna nchi masikini lakini haziombi kama tanzania...kuna nchi zinategema zao moja tu lakini kwa hilo zao limewatoa katika dimbwo la umasikini...sisi kazi kutembea na misururu ya watu kibao chini ya mwamvuli wa kutafuta wawekezaji..hii ni aibu kubwa snaa.....sawa misaada mingi tunapata iko wapi??? ndio maana sasa hivi kila mtu serikalini kuanzia ikulu ni mfanya biashara...hakuna uwajibikaji kabisa bali ni upuuzi tu....wazir mkuu tuliye nae naye hana lolote....akiguswa na maswala magumu ya kitaifa analia..sijawahi ona hii....huu ni unafiki sana.....pengine yule waziri mkuu yule sijui wa israel alikuwa sahihi aliposema Tanzania sio nchi muhimu.ni kweli sio muhimu maana hatujithamini
 
nchii hii inabebwa na wafanyakazi kwa kulipa PAYE...na kwa kuwa hii pesa inakwatwa juu kwa juu basi wengi haiwaumi lakini ni pesa nyingi sana.......misaada mingi inaishia kwenye matumbo ya wezi wa ikulu na mawaziri wake wakiongozwa na mkuu wa nchi....nimeshangaa sana kuona makabrasha flani yakimtaja spika ane makinda nae ni mmiliki wa mabasi ya super feo yale yasiyokuwa na picha ya penguine!!!.... hahaha...nchi hii bana!!!!
 
Back
Top Bottom