mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,979
'Sie tuendelee kujifungia tu, fursa zitatufuata because we are very special breed in planet earth.'Biashara fursa na mipango ndio waingereza wanachofanya.
Hawa wenzetu awachezi kamali na maswala uchumi haya ni maandalizi ya life after BREXIT.
Ukiwa ndani ya jumuiya trade negotiations zilikuwa chini ya block control kwa lugha nyingine wana negotiate kwa pamoja hakuna kufanya mambo individually ndio maana wakaja na EPA.
UK wanatoka EU by next year watakuwa full independent and responsible na uchumi wao ivyo inabidi wawe na trade zao kote duniani sio Africa tu hata EU itabidi wanegotiate nao upya jinsi yakufanya nao biashara. Ndio maandalizi yenyewe.
Kuna faida gani kwa Africa, picture this kwa EU member state hakuna ushuru wa kuagiza bidhaa nchi moja kwenda nyingine. Maana yake nini mfano muuzaji mkubwa wa maua EU ni Kenya na kwa sasa yanaingia kupitia Holland; retailers wa EU wana nunua ndio yanasambazwa nchi nyingine freely gharama ni usafiri tu.
UK wakitoka EU either inabidi wawe na deal nzuri na block kwenye hizi movement za bidhaa hili kusiwe na madhara ya bei au sasa waagize wenyewe maua kutoka Kenya.
Sasa imagine kuna bidhaa ngapi zinatoka nchi za Africa ambazo main supplier yupo nje ya UK na kutakuwa na impact gani wasipota trade nzuri na EU?
Kuondoa hayo madhara baada ya BREXIT ndio sasa wanatafuta trade zao wenyewe; UK kuna waafrica wengi pia na asilimia kubwa ya vyakula vyao main supplier wapo Holland (wao ndio wananunua Africa au nchi zingine) na kuuzia UK retailers.
Sie tuendelee kujifungia tu, fursa zitatufuata because we are very special breed in planet earth.
Hahah no wonder Kigwangala alipoulizwa mna mpango wowote ule wa kuidhamini timu huko EPL ili itangaze utalii wetu akasema hapana lkn mpk timu kubwa za ulaya(Man u,Chelsea,Arsenal) hua zina tubembeleza tuzidhini,hahah akili zetu bana.
dodge