KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Sisi hatutajuta kwa kuwa tunajua serikali inafanya nini.UK wanatuhitaji kuliko tunavyowahitaji. Kaa kimya
Eleza "unachojua serikali inafanya nini".
Hukuandika chochote cha kunifanya 'nikae kimya' katika mstari huo ulioweka hapo. Kwa hiyo nachukulia kuwa wewe ni kati ya wajinga na wapumbavu niliowazoea hapa JF.
UK haina haja ya "kuwahitahi" nyinyi kwa lolote inalolitaka kutoka kwenu na isilipate. Koloni lake lipo hapo mnashirikiana nalo. Kuna ugumu gani wa kulitumia koloni hilo ili ipate inachokitaka kutoka kwenu.
Kwanza kuonyesha ulivyo mjinga, hata huelewi yanayoendelea kwenye mkutano huo.
Bure kabisa.