N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,824
- 9,521
Nishashuhudia gari mbili zinavunja miguu ya mbele baada ya kuingia kwenye haya matobo ambayo yamejaa barabara nzima tena eneo la kona na mteremko....nchi nyingine raia anaweza kuishtaki mamlaka inayosimamia huo muundombinu ikiwa itatokea ajali na vipimo vya trafiki vikathibitisha sababu ni ubovu wa miundombinu. Zibeni haya matobo fasta yapo jirani na ukumbi wa APC pale nendeni mkazibe fasta.
Siwaombi ila nawakukbusha tu wajibu wenu.hiyo pichani ni sehemu ila hilo eneo lote halifai
Siwaombi ila nawakukbusha tu wajibu wenu.hiyo pichani ni sehemu ila hilo eneo lote halifai