Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
labda wamkate kwanza miguu ya mbele halafu ndio wamsaidie., ukishamtolea tu hilo Dubwasha, Mara paap njaa ishamdaka ,ana ww.
Ama kweli umenena vyema ,mtu unaweza msaidia na asiuthamini msaada wako
ungelikuwa ni wewe ungeweza kujaribu hapo kumtoa hiyo sufuria? au unasema kwa urahisi tu.Hapo ni rahisi zaidi kama wangemtranquilize na kumtoa hilo sufuria.