Joeli
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 4,941
- 3,402
Ukimpenda mtu kwa moyo wako wote, akakusaliti
na kukuvunja moyo usiendelee kujitesa na
kujiharibu kwa pombe, sigara au mahusiano ya
kulipiza kisasi. Hukufanya kosa kupenda, endelea
kujipenda, jitunze, jijenge na wala usizime ndoto
zako. Ili uendelee kunawili, kufurahi na kuishi kwa
amani moyoni. Wapo watakaokuona ukitabasamu
watazani kila kitu safi kumbe ulishamkabidhi
Mungu ili yeye akuletee rafiki mwenye upendo wa
dhati
na kukuvunja moyo usiendelee kujitesa na
kujiharibu kwa pombe, sigara au mahusiano ya
kulipiza kisasi. Hukufanya kosa kupenda, endelea
kujipenda, jitunze, jijenge na wala usizime ndoto
zako. Ili uendelee kunawili, kufurahi na kuishi kwa
amani moyoni. Wapo watakaokuona ukitabasamu
watazani kila kitu safi kumbe ulishamkabidhi
Mungu ili yeye akuletee rafiki mwenye upendo wa
dhati