Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,837
- 93,612
Mpaka leo?Mpunga wa ESCROW hakuwahi kurudisha.
Mpaka leo?Mpunga wa ESCROW hakuwahi kurudisha.
Baba Askofu anafahamu taratibu za kanisa katoliki, ili usamehewe inabidi utubu. Kama umeiba basi urudishe ulichoiba. Sasa hawa jamaa wamefanya hayo?Mpaka leo?
Huyu ni mchuuzi kama watu wengine hana issueBaba Askofu anafahamu taratibu za kanisa katoliki, ili usamehewe inabidi utubu. Kama umeiba basi urudishe ulichoiba. Sasa hawa jamaa wamefanya hayo?