Mbona taifa lenyewe halipo salama kama kuna idara ya 'usalama wa taifa?'. Watu wanawaweka vihiyo kwenye idara nyeti kama hiyo ya inteligensia afu unategemea taifa liwe salama? No. Noooooooooooooooo!
Kukubali hili, labda ubongo wangu ubadilike kuwa kamasi.
Mkuu hapo hadi title yako itakuwa ishabadilika mkuu, usiombee hiyo japo ni sure post!