Upande mmoja ninaelewa kuwa kufunua hili kutaitikisa nchi lakini kutolifunua nafikiri kunaitikisa zaidi
Umeiangalia mizani yako vizuri kuona kama hilo la pili ni kweli litazidi la kwanza?Maana kama ni kinyume chake basi hali itakua mbaya zaidi
Upande mmoja ninaelewa kuwa kufunua hili kutaitikisa nchi lakini kutolifunua nafikiri kunaitikisa zaidi
Mkuu siku hizi wanajitangaza kabisa tena waziwazi si sawa na zamani ilikuwa siri. Unakutana na mtu bar mnapata kinywaji na katika kutambulisha anakwambia kabisa mimi ni usalama wa taifa.
Mkuu siku hizi wanajitangaza kabisa tena waziwazi si sawa na zamani ilikuwa siri. Unakutana na mtu bar mnapata kinywaji na katika kutambulisha anakwambia kabisa mimi ni usalama wa taifa.
ETI usalama wa taifa! Meremeta iwe sehemu ya usalama wa taifa!!!!! kuna nini cha kiusalama kwa Jeshi la wananchi kumiliki Meremeta? nijuavyo mimi Jeshi la wananchi ni kwa ajili ya usalama wa nchi kutokana na uvamizi na nchi nyingine ( maana usalama wa ndani wapo polisi na mashushu). hivi Idi Amini amerudi tena? kama hajarudi, Tanzania maadui zetu ambao wanatishia usalama wa nchi yetu kwa sasa ni nchi gani? na tuna ugomvi gani nao?Hivi tuna nchi katika zinazotuzunguka au za mbali zinazotaka kutuvamia? Je wanajeshi wa vyeo vya kati na wa chini kabisa ambao ndiyo wapiganaji wameambiwa kuwa wajiandae kupigana na hao maadui? Hii mnayosema ni siri ni siri kwa ajili ya nani kama hao wanaotakiwa kulindwa/ kuhakikishiwa usalama hawajui wanalindwaje? hii ni ajabu chini ya jua - mlindwa hatakiwa kujua undani wa usalama wake ila Vithlan na kampuni ya BAE ndiyo wanaruhusiwa kujua hizo siri kwa sababu za kifisadi?
PINDA NA WENZAKO MJUE WATANZANIA SIYO MABWEGE TENA. IPO SIKU MTASEMA UKWELI MPENDE MSIPENDE.
Ukipatwa na haja unaweza kujichelewesha kwenda msalani kwa muda lakini itafika muda upende usipende utakwenda tu.
Mkuu Magezi umesema vyema.Wakati wa CCM na serikali yake kwenda msalani ndo huu......!!!
Mara utasikia TICTS inabaraka za baraza la mawaziri, mara meremeta inahusu usalama wa taifa, ....mara upumbavu mwingine. Hivi ni baraza gani la mawaziri litakubali TICTS iendelee na ujinga inaoufanya hapo bandarini?? au ni baraza la waganga wa kienyeji??
Hivi Kikwete na Pinda mnashindwa nini kuvunja mkataba na TICTS na mkaundatume ya kuendesha bandari yetu? mbona sumaye alivunja jiji dar na kuweka tume chini ya keenja na ikaleta manufaa?? Kuna nini hapo ikulu ?? mbona tunasikia tu hugo chaves anafanya vitu?? Wewe kama rais unashindwa nini??
mtalinda wezi hadi lini?? au na wewe ni mmoja wao?? ni nani asiyejua kwamba Uongozi wa Gen. mboma uliliingiza jeshi ktk hasara kubwa? Akaja Waitara naye akaendeleza libeneke ya kula nchi ??
Ya levy Mwanawasa yanawashinda nini?? Au na wewe unaogopa skendo zako zita kufikisha kortini pindi ukiachia urais? kama siyo wa ogopa nini kumshitaki mkapa??
WanaJF naomba muongozo, je ni kweli na ni haki kabisa kwa jeshi kutowajibika bungeni? Je waziri wa ulinzi kazi yake ni kusoma na kuomba bajeti ya wizara yake kupita? Je matumizi ya majeshi hayatakiwi kukaguliwa? kwa mtaji nchi hii kila kitu kitafanywa chini ya mwamvuli wa 'usalama wa taifa'! Hatari hii!
Yea, hata waliopo reception nao wanajitafutia ujikoMkuu siku hizi wanajitangaza kabisa tena waziwazi si sawa na zamani ilikuwa siri. Unakutana na mtu bar mnapata kinywaji na katika kutambulisha anakwambia kabisa mimi ni usalama wa taifa.
Hivi USALAMA wa taifa ni nani na nini kazi yao?? hata mtaani wanatishia watu, hata siku akikukwaruza na gari kwenye foleni mkwara unapigwa kuliko wa mwanajeshi na unaambiwa njoo st. peters saa flani tupange namana ya kutengeneza gari yako....mimi nafanya kazi ofisi za upande wa chini pale....maofisini nako kuna mabosi wanatishia watu wanawatukana na kudai hamnifanyi chochote ukiuliza unaambiwa aah huyu system kaweka hapa kwa maslahi ya usalama wa taifa...da! mbona huu sio usalama wenyewe??
Kama kuna watu wanafanya hivyo, basi imekuwa kazi isiyo na heshima tena.Wakati wa utawala uliopita my perception about usalama was very negative. Na hii ilitokana na yale niliyokuwa nayaona ya kupenda misifa kwa baadhi ya wahusika waliokuwa wanafanya hiyo kazi.Nafikiri mentality ya baadhi ya wafanyakazi ya kutaka waonekane tofauti haina tija kwa institution yenyewe.Wenzetu wengi duniani wanatumia inteligence zao kuhakikisha they safeguard their interest in then world affairs interms of technology, power, economy etc. Imefika sehemu sasa tuanze kutumia watu hawa kuhakikisha tuna usalama wa kuaminika na tuna information zenye uhakika kwenye mambo mengine ya kuchumi, technologia na biashara.Yea, hata waliopo reception nao wanajitafutia ujiko
Chonde Waziri Mkuu,
Liambie taifa ukweli wote kuhusu Meremeta zote mbili na kwanini ilikuwa ni lazima kuitengeneza kampuni hiyo. Liambie taifa juu ya wahusika wake na jinsi gani walitajirika kwa kupitia kampuni hiyo; liambie taifa kwanini Jeshi lilijiingiza kwenye biashara ya kuchimba madini kama front ya kile "kingine" walichotaka kufanya; liambie taifa ukweli wote.
Ndiyo, taifa linaweza kutikisika na wengine wanaweza kuishia kutiwa pingu na hasa wale ambao ni makada wenu wazuri wa CCM na maafande wenye nyota. Liambieni taifa ukweli kwani linastahili hivyo kutoka kwa watawala wake. Msipinde maneno sana na msiwatishe watu kwa kusema "usalama wa taifa".
Kama ni suala la usalama wa taifa basi waambieni wenye taifa hilo ni jinsi gani kuchimba madini kwa hasara ya mabilioni kulilinda taifa hilo. Waambieni ni jinsi gani kurithishana hisa za kampuni ya serikali kwenye familia ni kulinda usalama wa taifa; waambieni ni jinsi gani kupeana misamaha ya kodi ya magurudumu n.k kwa Meremeta kulilinda usalama wa taifa; waambieni wenye nchi yao ni kwanini MEREMETA NI SEHEMU YA USALAMA WA TAIFA!
Ndiyo, hata kama hamuwezi kufanya hivyo "hadharani" basi waambieni wawakilishi wa wananchi hao, msiwafiche!
Si mnakumbuka Iranian-Contra? Si mnakumbuka hadi aliyekuwa Waziri wa Ulinzi alikutwa na hatia na wengine 13 maafisa wa serikali ya Marekani kwa kufanya mambo "kwa nia njema" lakini kwa kulificha Bunge la nchi hiyo?
Hicho ndicho serikali imefanya na wabunge ovyo wamekubali ulaghai huo (namaanisha wabunge ovyo ovyo). Wabunge wamekubali serikali iwafiche mambo yanayohusu taifa hili na katika upotofu wa mawazo yao wanampiga mkwara mbunge mwingine yeyote yule kulileta jambo hili bungeni. Hawa ndiio maadui wa usalama wa taifa letu.
Hivyo.. liambieni taifa ukweli mapema. Kama huwezi (kwa kuogopa kusulubiwa) mwache Rais Kikwete alizungumzie kwa uwazi na ukweli..
vinginevyo... vinginevyo... Litaanza kufunuliwa na magazeti mengine na Cheche litachukua msimamo mkali siku ya Ijumaa. Natafuta watu Dodoma ambao wataweza kuchapa nakala hizo za Cheche na kugawa bure kwa Wabunge.
Tunatoka kulalamika, tunaelekea kuhamasika. Kama hawataki kulijadili hadharani, watalijadili vyumbani mwao! Msitulazimishe kwa maamuizi yenu kuwa na misimamo mikali (do not force us by your horrible decisions to become radicalized!).
Hivyo mkuu chonde sana liambieni taifa ukweli, vinginevyo wengine watafanya!
Mkuu M/Kijiji,Chonde Waziri Mkuu,
Liambie taifa ukweli wote kuhusu Meremeta zote mbili na kwanini ilikuwa ni lazima kuitengeneza kampuni hiyo. Liambie taifa juu ya wahusika wake na jinsi gani walitajirika kwa kupitia kampuni hiyo; liambie taifa kwanini Jeshi lilijiingiza kwenye biashara ya kuchimba madini kama front ya kile "kingine" walichotaka kufanya; liambie taifa ukweli wote.
Ndiyo, taifa linaweza kutikisika na wengine wanaweza kuishia kutiwa pingu na hasa wale ambao ni makada wenu wazuri wa CCM na maafande wenye nyota. Liambieni taifa ukweli kwani linastahili hivyo kutoka kwa watawala wake. Msipinde maneno sana na msiwatishe watu kwa kusema "usalama wa taifa".
Kama ni suala la usalama wa taifa basi waambieni wenye taifa hilo ni jinsi gani kuchimba madini kwa hasara ya mabilioni kulilinda taifa hilo. Waambieni ni jinsi gani kurithishana hisa za kampuni ya serikali kwenye familia ni kulinda usalama wa taifa; waambieni ni jinsi gani kupeana misamaha ya kodi ya magurudumu n.k kwa Meremeta kulilinda usalama wa taifa; waambieni wenye nchi yao ni kwanini MEREMETA NI SEHEMU YA USALAMA WA TAIFA!
Ndiyo, hata kama hamuwezi kufanya hivyo "hadharani" basi waambieni wawakilishi wa wananchi hao, msiwafiche!
Si mnakumbuka Iranian-Contra? Si mnakumbuka hadi aliyekuwa Waziri wa Ulinzi alikutwa na hatia na wengine 13 maafisa wa serikali ya Marekani kwa kufanya mambo "kwa nia njema" lakini kwa kulificha Bunge la nchi hiyo?
Hicho ndicho serikali imefanya na wabunge ovyo wamekubali ulaghai huo (namaanisha wabunge ovyo ovyo). Wabunge wamekubali serikali iwafiche mambo yanayohusu taifa hili na katika upotofu wa mawazo yao wanampiga mkwara mbunge mwingine yeyote yule kulileta jambo hili bungeni. Hawa ndiio maadui wa usalama wa taifa letu.
Hivyo.. liambieni taifa ukweli mapema. Kama huwezi (kwa kuogopa kusulubiwa) mwache Rais Kikwete alizungumzie kwa uwazi na ukweli..
vinginevyo... vinginevyo... Litaanza kufunuliwa na magazeti mengine na Cheche litachukua msimamo mkali siku ya Ijumaa. Natafuta watu Dodoma ambao wataweza kuchapa nakala hizo za Cheche na kugawa bure kwa Wabunge.
Tunatoka kulalamika, tunaelekea kuhamasika. Kama hawataki kulijadili hadharani, watalijadili vyumbani mwao! Msitulazimishe kwa maamuizi yenu kuwa na misimamo mikali (do not force us by your horrible decisions to become radicalized!).
Hivyo mkuu chonde sana liambieni taifa ukweli, vinginevyo wengine watafanya!
This is all that need to be said.Meremeta: The details Including where its relationship with TPDF starts and ends
But surprisingly in 2006 � just a year after officially beginning gold production � the company declared itself bankrupt, and was formally dissolved.
Informed sources have confirmed to THISDAY that after the liquidation of Meremeta, both the TPDF and the South African company (Triennex) formally pulled out of gold mining activities at Buhemba.
This means that all military involvement in the Meremeta project formally ended in 2006, when the company was declared bankrupt.
Official Government records show that as Meremeta Ltd was winding up its operations prior to liquidation, the BoT paid more than $118m (approx. 154bn/-) to Nedcor Trade Services Limited, a financial services company registered in Mauritius, to offset a guaranteed loan it (the company) had extended to Meremeta.
The central bank raised the funds to pay off the loan to Meremeta through a controversial 155bn/- Treasury bond, in a transaction that later raised serious queries from auditors.
Following the liquidation of Meremeta Ltd, the Ministry of Energy and Minerals announced in Parliament that a wholly-owned Government company, TANGOLD Limited, had been formed and assumed all Meremeta company assets, including the Buhemba Gold Mine.
Investigations by THISDAY established that the BoT then paid another $13.34m (approx. 17bn/-) to TANGOLD through an account at the National Bank of Commerce Limited's Corporate Branch in Dar es Salaam.
TANGOLD was initially registered in Mauritius - also as an offshore company - in April 2005, with its official address listed as Suite 520, Barkly Whart, Le Caudan Waterfront, Port Louis.
In February 2006, the company was registered in Tanzania with its listed local shareholders including the then BoT governor Daudi Ballali (now deceased); the then Minister for Infrastructure Development, Andrew Chenge; and the then permanent secretary in the Ministry of Finance, Gray Mgonja.
Other TANGOLD shareholders are the current PS in the Ministry of Home Affairs, Patrick Rutabanzibwa; and a retired permanent secretary from the Prime Minister's Office, Vincent Mrisho.
Although the Ministry of Energy and Minerals claimed that TANGOLD was 100 per cent owned by the Government, it has never been explained why the company was originally registered in Mauritius and not Tanzania, and why its articles of association allow the listed shareholders to transfer all or part of their shares to their own next of kin.
TANGOLD is also not listed at the Treasury Registry among companies partly or wholly-owned by the Government, and has thus not been subjected to statutory auditing by the Controller and Auditor General (CAG).
The Government has controversially attempted to silence parliamentary debate on the dubious BoT payments to Meremeta by claiming that the company is a classified military project - despite evidence that the TPDF ceased involvement in the firm in 2006 when it was liquidated.