Ujumbe wa wazi kwa Lemutuz ni hiari yako umeze au uteme

Status
Not open for further replies.
Mwacheni jamani ni stail ya maisha yake

May Allah bless Me and You
 
Kwako Lemutuz
Unajiita sijui mzee wa mbebez, sijui le mbebez haya majina kiukweli hayaendani na wewe. Umri ulokua nao sio umri wa kuchanua na kula bata na vitoto vidogo ni umri wa kukaa nyumbani na kulea wajukuu

Kwa umri wako woteee kweli hivi unaishi maisha ya kulala hotelini?
Ni aibu gani hii jamani? Kwanini usiuze gari ujenge hata kajumba kaa room moja?
Huoni umri umekata ringi? Ni ushauri tu huo ndugu yangu lemutuz. Hizo sio zama zako za kukaa instagram kushindana na watoto kama kina mange la! huko ni kujitafutia matatizo bure

Hizi ni zama zako za kukaa na family yako kulea wajukuu.na watoto,,,,,over, hakuna kingine. Hivi lemutuz huna marafiki?Kama unao kwanini hawakushauri vizuri?
Kwanini unaiaibisha family yenu?

Hizo pesa za bata zikisha na kununua petrol ya gari utakua mgeni wa nani?
Kwanini hvi lakini? Jifunze kubadilika mange c type yako vitoto vya insta sio saizi yako ulipaswa ukae chini ulee familia na wajukuu maisha unayoishi sio level yako unayoyafanya sasa hivi ulipaswa kufanya ujanani sio sasa hivi

NI USHAURI TU
OVER,,,,,,,,,,,,,,

Kwanza siwajui wewe wala Le mutuz. Ila ukiona mtu anafuatilia maisha ya mtu ujue huyo kafilisika na hana maisha yake. Uzee ni namba na jinsi unavyoamua basi wewe unakua Babu hata ukiwa under 18 kama wewe mwanaisha. Sorry Mwandishi. Kila siku unapiga kelele Demokrasia. Uhuru wa mtu. Tena hata kutukana sasa ni Demokrasia. Lakini wewe sijui umemuona Le mutuz na mpenzi wako so inakuuma. Sijui we jike Le mubebez alikupa kibitz. Sasa tueleze we Muda wa kujua le mutuz ana au hana nyumba ulipata wapi. Alikulala bila hela. Hivi Watz tukoje. Lemutuz popote haijawahi kujificha ID yake. We hatujui hata kama ulichawi kumiliki tochi. Pengine hata bundle umekopa lakini Uko Hpa kuzungumzia maisha ya mtu mwingine. Iwe lemu or lamu. HUNA HAKI KWA KUWA YEYE HUJAMPA KURA ILI AKUONGOZE NA WEWE HUMJAJI. Ila sifa ya vijana waliobalee ni ubishi wa maneno. No facts kwa kuwa upeoo wenu ndo ulipooshia. USHAMBA Wako ndo unadhani Inst au Jf imewekwa kwa ajili ya watoto na vijana. Ni kwa kuwa unadhani huku ni mahali pa kutongozeana na kulalana tu. No ni mTANDAO WA KIJAMII. IT CONNECTS,it brings close friends and business. Market. Sio umbeya na ujana. Kesho uje utuambie maisha yako. Mana maisha ya mtz mwingine hata mkeo huwezi kumjua sembuse wewe
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom