Yegoo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2012
- 1,424
- 503
Madiba peleka salam hizi kwa mzee we2,(jk Nyerere) mwambie hivi Tanzania hakuna tena kuna Tangagiza,,
Viongozi bora hakuna tena sasa hivi kuna Wezi bora,bunge hakuna tena sasa hivi kuna mabondia,waropokaji,wezi na wasanii.Pia sasa hivi huku hawafi wazee wanakufa vijana kwa kula unga,mabangi na ngono zembe,,ule mchakamchaka na zile nyimbo zake zilishamfuata!!
Viongozi bora hakuna tena sasa hivi kuna Wezi bora,bunge hakuna tena sasa hivi kuna mabondia,waropokaji,wezi na wasanii.Pia sasa hivi huku hawafi wazee wanakufa vijana kwa kula unga,mabangi na ngono zembe,,ule mchakamchaka na zile nyimbo zake zilishamfuata!!