Ujumbe wa Nay Kwa madiba

Yegoo

JF-Expert Member
Nov 14, 2012
1,423
501
Madiba peleka salam hizi kwa mzee we2,(jk Nyerere) mwambie hivi Tanzania hakuna tena kuna Tangagiza,,
Viongozi bora hakuna tena sasa hivi kuna Wezi bora,bunge hakuna tena sasa hivi kuna mabondia,waropokaji,wezi na wasanii.Pia sasa hivi huku hawafi wazee wanakufa vijana kwa kula unga,mabangi na ngono zembe,,ule mchakamchaka na zile nyimbo zake zilishamfuata!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom