Henry Kilewo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2010
- 899
- 1,084
Ndungu zangu wa Tanzania: leo nimetoka kumuona kamanda Godbless lema kwenye magereza kuu ya Arusha. ujumbe wake kwenu, msikate tamaa tunganishe nguvu kwa pamoja na tusimamie kile tunachokiamini maana saa ya ukombozi ni sasa siyo kesho tena, hayo nimaneno ya Godbless lema mbunge wa Arusha mjini.