Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
- Maisha uliyoyaishi mwaka huu na miaka ya nyuma yatatueleza huko mbeleni kuna nini kama ni uovu ni vema tukatubu sasa na kuomba rehema ila tusiyarudie tena.
- Kila unalo lipanga na kuamua kutekeleza jua kesho yatakuwa na majibu uyapendayo au usiyo yapenda.
Kama wewe ni kiongozi unatenda yasiyo mema na walio chini yako wanafuata mkondo kwakuwa wewe una nia iyo ovu basi kumbuka mazingira unayowawekea waliopo chini yako huko mbeleni au siku za badae yatakuwa magumu sana na watamlaani shetani huku wakihangaika sehem mbali mbali kwa ajili ya msaada na wasipate kabisa mwisho wa siku majuto mjukuu ila siri itakuwa ni moja tu basi…..
Kaeni na Amani ya Mwenyezi Mungu nawatakia Kheri ya Krismasi na Mwaka mpya.