Tang Zhou
JF-Expert Member
- Mar 14, 2018
- 1,206
- 2,587
Mabishano ya kisiasa na kutokukubaliana kutaendelea kuwepo siku zote...dawa ya mabishano hayo ni CHAGUZI HURU na za AMANI, mwisho wa siku wananchi waachwe waamue wanakubali hoja za nani...
Ukizuia Chaguzi huru utachoka tu, huwezi kutawala kwa amani...Rais Magufuli anaweza kujifunza hekima hii kwa Rafiki yake, Kaguta Museveni(Naye Rais Mkora na Ibilisi but he is more intelligent!)
Ukizuia Chaguzi huru utachoka tu, huwezi kutawala kwa amani...Rais Magufuli anaweza kujifunza hekima hii kwa Rafiki yake, Kaguta Museveni(Naye Rais Mkora na Ibilisi but he is more intelligent!)